M/kiti wa CHADEMA Manonga amuunga mkono Rais Magufuli

Wakuligo

JF-Expert Member
Aug 8, 2013
259
105
M/kiti wa chadema tawi la Manonga amemfagilia Rais Magufuli akiomba wananchi kumuunga mkono kwa juhudi zake za kuleta maendeleo kwa watanzania. M/kiti hyo ameyasema hayo mapema leo wakati Rais Magufuli aliposimama kuwasalimia wananchi wa Manonga akiwa njiani kuelekea Nzega,ndipo alipomkaribisha m/kiti hyo, akapanda kwenye gari ya rais ndipo akamwaga yake ya moyoni.

Source: ITV.
 
Yote haya yamesababishwa na Mbowe hana msimamo.

Anaye mtukana leo na kumuita dhaifu na fisadi( LUGUMI) ndio mgombea urais Wa chadema 2020 ili mradi tu afike bei ya Sacco's


Safi sana mwenyekiti wa Manonga
 
Maendeleo ya kuongeza bei ya sukari, kuongeza ugumu wa maisha na sasa kuwafukuzisha kwenye nyumba wakazi wa Dodoma huku wakiwa hawana pa kwenda.
13876263_642316125946033_199004975326193628_n-jpg.373631


13906897_642316182612694_4983143709967163347_n-jpg.373632


M/kiti wa chadema tawi la Manonga amemfagilia Rais Magufuli akiomba wananchi kumuunga mkono kwa juhudi zake za kuleta maendeleo kwa watanzania. M/kiti hyo ameyasema hayo mapema leo wakati Rais Magufuli aliposimama kuwasalimia wananchi wa Manonga akiwa njiani kuelekea Nzega,ndipo alipomkaribisha m/kiti hyo, akapanda kwenye gari ya rais ndipo akamwaga yake ya moyoni.

Source: ITV.
 
Back
Top Bottom