Recent content by teddy elias

  1. T

    Mnaowafanyia makeup mabibi harusi kueni na huruma kidogo!

    kapendezaaaaaaaaaaa.....................na vigelegele vinafuata.................hahahahahaha mungu anawaona
  2. T

    Clouds 360 waipitia bajeti ya msiba wa Akwilina, wasema ni kubwa watoa pendekezo

    kuna muda najizuia kuongea lakn nashindwa hiki kiredio kinaboa sana kwan serikali iliombwa?si walijipendekeza wao................ninyi watangazaji mnakoelekea mnavuka mipaka sasa
  3. T

    Kutokana na mauaji yanayoendelea; Nyegezi sio salama

    tuvumilieni kwa sasa nchi ni salama wewe ni mchochezi
  4. T

    Rais Magufuli ana-tweet kwenye mambo serious, anafoka kwenye mambo rahisi

    umewaza sana.kunywa soda kwa mangi naja kulipa
  5. T

    SERIKALI: Tumepata pigo kifo cha Mwanafunzi NIT, tutagharamia msiba na mazishi

    mama ndalichako nakuheshim sana ila unakoelekea mama unakosa njia.muuaji apatikane kwani amepelekwa wapi?mbona hizi drama kama za bongo movie mambo sasa anasema askari sita wanahojiwa wewe unasema apatikane acheni usanii sasa
  6. T

    Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

    kuendelea kumkumbuka msichana mloachana kisa unampenda ni sawa na kusubiri ndege feri.kikubwa usipende kutembelea sehemu ulizozoea kwenda naye,wala usipende sana kukaa peke yako.ukikumbuka mabaya yake na kuwa busy na mambo yako utamsahau
  7. T

    Ushauri tafadhali: Tuliachana ila ananisumbua turudiane

    tatizo ni kwamba yeye yupo mkoa mwingine kikazi yupo dar nami nipo arusha masomon
  8. T

    Ushauri tafadhali: Tuliachana ila ananisumbua turudiane

    Mwenzenu naomba ushauri wenu, Nipo katika mahusiano na mchumba wangu mwanzoni tulikua tunaishi vizuri tu baadae mabadiliko yakaanza kuwasiliana ikawa kwa tabu kidogo nilipomuuliza akasema tatizo kazini anabanwa sana hivyo simu si rafiki sana. Nilipo endelea kulalamika juu ya mawasiliano kuwa...
  9. T

    Kwani Mara, kura waliipa Upinzani? Kwa nini hatutembelewi na Rais,Makamu au Waziri Mkuu?

    pumbavu sana wafuate hao kama unawataka muoneeeeeeeeeeeee
  10. T

    Natafuta mme wa kunioa

    nicheki pm tuongee
  11. T

    Hivi nyie wadada! Nani aliwapiga tunguli?

    wewe ndo mkurupukaji wee umejuaje kuwa mzee ni mwathirika pili kama kaoa kabinti kwa nn mkewe asiumie uumie wewe
  12. T

    Hivi nyie wadada! Nani aliwapiga tunguli?

    mzee aoe wee utoe povu kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
  13. T

    Kiwango cha mshahara!

    inategemea kiwango cha elimu aliyo nayo
  14. T

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    haya sasa makubwa ushahidi ni yeye mwenyewe tena mwataka ushahidi mwingine
Back
Top Bottom