Recent content by Tearish

  1. Tearish

    Sheria inayolinda bendera ya taifa, adhabu za papo kwa papo bila ya Mahakama

    Wadau wenye kufahamu masuala haya naombeni mnifahamishe hili la bendera yetu ya Tanzania, ikiwa inapandishwa ama kushushwa ni utaratibu kama sio sheria watu kusimama mpaka zoezi hilo likamilike. Je, kuna ulazima wa kuendelea na utaratibu huu? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Tearish

    Shamba la ekari 10 linauzwa Morogoro

    Karibu sana
  3. Tearish

    Shamba la ekari 10 linauzwa Morogoro

    Bado mkuu
  4. Tearish

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Hata mafuta ya taa pia ni mazuri,mimi huww natumia hayo na tatizo linaisha pia. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Tearish

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Jaribu pia kuwasafisha na mafuta ya taa husaidia kuondoa utitiri machoni mwa kuku. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Tearish

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Pia mchunguze kwa makini huenda amejichomwa ni kitu chenye ncha kali,jaribu kumsafisha kwa maji moto mguu huo kama hauna tobo basi mtoboe kwa sindano kisha mpake spirit.huduma ya kwanza. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tearish

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Pia unaweza wasafisha vodonda vyao kwa kutumia alovera,husaidia kukausha hivyo vidonda vyao. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Tearish

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Naweza pata mawasiliano yako
  9. Tearish

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Ninao shida ni kuuweka hapa
  10. Tearish

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo wa koffi olomide ft fally ipupa Silvie. Mtu asije kuchanganya na ule silvie wa koffi alioimba na bendi nzima na wala sio ule aliomshirikisha felle gora.
  11. Tearish

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Thanks nimeuona tayari
  12. Tearish

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo ninao ila kuuweka hapa
  13. Tearish

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo wa zahir zolo Maneno yake ni haya. Tuishi sote milele Tuishi sote milele kama watoto wazuri wapendezao. Wewe ndo wangu mama ............
  14. Tearish

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wimbo wa zahir zolo unaitwa malaika
  15. Tearish

    Single fathers and mothers njooni tujenge familia

    Hello Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom