Recent content by tchaot

  1. T

    Rostam Aziz ni mwanahisa mkubwa katika Kampuni iliyotajwa na Tundu Lissu kabla hajakamatwa!

    Shida ni ipi je hakuuziwa kihalali, halipi kodi etc?
  2. T

    Rostam Aziz ni mwanahisa mkubwa katika Kampuni iliyotajwa na Tundu Lissu kabla hajakamatwa!

    Shida ni ipi je hakuuziwa kihalali, halipi kodi etc?
  3. T

    Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Nimekusikia mwenyewe ukimsimanga yule msichana eti kwa unampenda mtu kama ..
  4. T

    GE2025 Ni hatari kwa mustakabali wa Umoja wa Kitaifa, kwa Mgombea kuandika bango la kuomba kura kwa lugha ya kikabila, Mwl Nyerere asingekubali litokee

    Asanteni sana wajumbe, baada ya kushinda kura za maoni,hebu jazia jazia ushahidi tuone alipoomba kura kwa ukabila
  5. T

    Uzinzi Ndio Adui Mkubwa wa Kibali chako ulichopewa na Mungu

    Jaribu weka na vifungu vya Maandiko Matakatifu kuthibitisha hilo
  6. T

    Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

    Siku si nyingi utaivunja yote ila usisahau habari za overseas , nimeona jamaa wanajenga msingi miongo mitatu ijayo unaweza kamilika, ni heri kumiliki mninga kuliko mpapai
  7. T

    Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

    Tena ni kilaza pro max, wachache wako mbele ya wakati
  8. T

    Mbwana Samatta ilikuwaje ukashindwa kumhamishia baba yako ‘ushuani’ ukakubali afie Mbagala?

    Alifanya pia kazi ikulu,Canada nadhani ilikuwa UniversityBritish Columbia alipigwa msasa huko,wahenga wa Moscow wana hadithi tamu sana
  9. T

    Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

    Usiogope kijana hizo ndege zinaweza zisiruke au zikiruka zisirudi zilipotoka ila muhimu zisiruke kabisa
  10. T

    Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

    Jiimarisheni kisiri siri kwa level hata ishirini afikifungua mfunga na kuweka Kuna vingi hana na hajui
  11. T

    Benki ya Dunia: Wanaotumia chini ya Tsh. 7,834 kwa siku ni maskini kupindukia

    Kwa tusio na magari wala pikipiki binafsi, weka gharama za usafiri za siku, vocha, umeme, maji ,kodi ya nyumba na chakula ukijikuta uko chini ya dola tatu staafu🤣
  12. T

    Baba mdogo alipoteza ajira yake, akapata kesi, kafungwa jela kwa kukosa faini milioni 40 tu, huku ana watoto wakubwa aliowasomesha India na UK

    Amepiga hesabu zake vizuri, usihofu hadi January 2026 mtatakiwa mtafute milioni thelathini ili atoke, endeleeni kumpambania
  13. T

    Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Cha upole anapumzika mazima, ila aungukaye toka mtini aweza dakwa na tawi la mti, kisha na kusema wazee wameniomba, kuhusu braza kama ubwabwa utalika kama wasemavyo , itakuwa ni bahati ya mtende, asiye faa akifaa ajirekebishe pale alipokuwa anakosea, timu zote mbili ma captain wameenda Ila ile...
Back
Top Bottom