Recent content by tayasaritor

  1. T

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Me iphone yangu iko locked na password, mtu akikosea password front cam inapiga picha na kutuma kwenye email yangu, akinajibu kuzima inafanya hivyo pia. So ikupita kwa mtu unayemfahamu, ni rahisi kuipata. Au hata kutoa matangazo ya picha za mwizi
  2. T

    Laptop ipi Bora?

    Hp ni 2.5 Ghz. Sijui kama ni refurbished, maana iko kwa mtu alikua anaitumia. Nina uwezo wa kuichukua na kukaa nayo kwa muda, na kuichunguza, Samsung ina Windows 8, Rating inasoma 4.3
  3. T

    Laptop ipi Bora?

    kuna Laptop 2 Samsung NP 300 EX5 4GB RAM 120 GB HDD AMD 1.5 GHz 15 inch HP 6460B 2GB RAM 320 HDD Core i5 15 inch HP iko juu ya Samsung kwa 50,000. Zote ni Used,ila Samsung imetumika zaidi. Ipi ni Bora? Kwa Kuzingatia Brand au Specs, Msaada pls
  4. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Mdau Ade no ya whatsapp uliyonipa imekua msaada mkubwa kwangu! Jamaa wako axtive n very kind! Ubarikiwe Sana
  5. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Ok thanx! Nilipata no za kwenye posters! Nimemaliza vifurushi kwakusikiliza music, simu hawapokei! Thanx mkuu
  6. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Mara ya pili nimelipa 20.000 taslim
  7. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Nimekuelewa kaka! Nililipa 15000 awali, same day nikaghairi na kuongeza 5000, hakuna kilichobadilika! Nilizoea Dstv, Azam hata no za Customer Care Sizifahamu, wana Page kwenye Facebook, admin amelala! Kama unaweza kubisaidia no mkuu nitashukuru! Asante kwa ufafanuzi
  8. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Nimelipa 20.000 Kuna Baadhi ya Channels sizipati, nikadhani haziko hewani, nikajuta kuna mtu anapata zote, kwangu zinaandika access denied, Kama Real Madrid Tv, Liverpool Tv, FX, Fox nk, Signal iko 64% kwa 60%. Kwenye channels hizo. Sijui Tatizo nini ndugus, msaada pls.
  9. T

    Clouds FM acheni Utoto

    Umewahi kusikia wimbo wowote wa WAGOSI WA KAYA Clouds? Hawapigi
  10. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Mieleka wanaonesha MBC Action
  11. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Msaada wakuu! Nimefanikiwa kuingiza satellite na frequencies, zimeongezeka Channels kadhaa kwenye Azam "dikoda ". Hasa nilipenda kupata Rodriguez, imeingia, ila haina picha wala sauti! Nirekebishe nini ionekane? Natanguliza shukrani
  12. T

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Huu uzi umenielimisha Sana! Thanks wote mliochangia Na kuuliza hiki na kile, nimeongeza chanels. Ila Rodriguez haina picha wala sauti
  13. T

    simu tecno F7 inanisumbua wadau!! nahitaji msaada wenu tafadhali!!

    Kurestore unaweza kupiga FACTORY DATA RESET, chagua ERASE EVERYTHING,
  14. T

    simu tecno F7 inanisumbua wadau!! nahitaji msaada wenu tafadhali!!

    Haina nadhara, itafuta kila kitu na kurudi km imetoka kiwandani, kila kitu kitaanza moja,
Back
Top Bottom