Hamna Binadamu yoyote na tena mahali popote mwenye mamlaka ya kutoa roho ya Binadamu yoyote,mamlaka hayo makuu kuhusu roho ya Binadamu anayo Mwe yezi MUNGU tu
Mkuu usikate tamaa na kumbuka kukata tamaa ni dhambi mbele ya uso wa MUNGU,amka asubuhi mapema kila siku kwanza ukimuomba MUNGU abariki siku yako na uendelee kusonga mbele,utanishukuru baadae
Nilikuwa Msibani Mbahe Marangu kwenye msiba wa Mama wa rafiki yangu mkubwa sana,nakumbuka kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ilikuwa September 2024,kuna mbunge wa viti maalum Kilimanjaro alikuwa pia ni rafiki wa familia na alichelewa kidogo kufika Msibani,alicho tueleza pale Msibani ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.