Recent content by TAU 1

  1. TAU 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mjichunguze harufu mbaya ukeni

    Wadada wengi sana halitambui hilo tatizo,mara nyingi hutokana na very serious fungal infection and chronic one,wanatakiwa kumuona Gynecologist ambae atachukua diagnostic swabs kuingiza kwenye uke na kufanya culture diagnostic ili apewe dawa itakayo maliza hilo tatizo ones and all
  2. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Tanzania yapata Daktari Bingwa wa kwanza wa Mfumo wa Chakula na Ini kwa Watoto

    Hongera sana Dr.Mumburi
  3. TAU 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatajisikiaje shemeji yako akimuita dada yako “demu” mbele yako

    Nawewe umeenda kufanya nini kwa Shemeji yako?
  4. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Watu wanaanza kuzoea risasi. Tunakokwenda siyo kuzuri. Watawala kuweni wasikivu. Wasikilize wananchi ambao ndio waajiri wenu

    Hii si dalili nzuri kwa nchi yetu,MUNGU wetu atusaidie tusifike huko
  5. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Kila kitu kinapotokea mbele ya uso wa MUNGU,kuna sababu ambazo yeye mwenyewe ana mamlaka nazo na anazijua anafanya kwa sababu gani,pengine wazazi au viapo na maagano ya kafara za mababu
  6. TAU 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Katika vitu vya kijinga na ushamba mkubwa ulioufanya,kwanza kumnyaganya vitu ulivyo mnunulia kama nguo na simu, kwani huyo mkeo hajawahi Kuwa mwema Katika maisha yako hata kidogo?kuhusu mapenzi yenu na alicho kukosea uwamuzi wako pengine uko sahihi kabisa, pole sana Kaka
  7. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Utata Hotelini Zanzibar: Maswali Mazito Kuhusu Kifo cha Mrembo wa Marekani, Ashlee Jenae

    FBI wata unfold utata wote na ukweli utajulikana
  8. TAU 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mjukuu wa Rais Moi ashindwa kutoa matumizi ya mtoto afungwa jela

    Labda kupitia mmoja wa watoto wa nje,Gideon ni mmoja wa matajiri wakubwa sana Kenya na kumbuka alikuwa kipenzi cha Baba yake Mzee Daniel Moi
  9. TAU 1

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Mkuu kwanza kabisa Asante sana Kwa simulizi hii jadidi,ukweli huna deni
  10. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Godoro kutoka mombasa kuja tanga

    Ziko mwembe tayari
  11. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Poleni sana Familia ya Qorro, Wasomi na Walumbi wa Kiswahili kwa kumpoteza Profesa Martha Qorro

    May her great and beautiful Soul rest well
  12. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Wapwa Msaada huu ni Ugonjwa unasababishwa na nini?

    Nafikiri itakuwa MPOX
  13. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Ukirudi kiimani mchungaji aliyemuua mke wake baada ya kugundua ni transgender anahesabika kama ametenda dhambi

    Hamna Binadamu yoyote na tena mahali popote mwenye mamlaka ya kutoa roho ya Binadamu yoyote,mamlaka hayo makuu kuhusu roho ya Binadamu anayo Mwe yezi MUNGU tu
  14. TAU 1

    JamiiForums Tanzania Tellers' kwenye benki zetu wanatuibia pesa zetu bila aibu

    Utaratibu hua mashine ya kuhesabia pesa ni lazima iwe imeelekezwa kwa mteja ili ahakikishe hesabu ya pesa zake
Back
Top Bottom