Recent content by TAU 1

  1. TAU 1

    Mjukuu wa Rais Moi ashindwa kutoa matumizi ya mtoto afungwa jela

    Labda kupitia mmoja wa watoto wa nje,Gideon ni mmoja wa matajiri wakubwa sana Kenya na kumbuka alikuwa kipenzi cha Baba yake Mzee Daniel Moi
  2. TAU 1

    SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Mkuu kwanza kabisa Asante sana Kwa simulizi hii jadidi,ukweli huna deni
  3. TAU 1

    Godoro kutoka mombasa kuja tanga

    Ziko mwembe tayari
  4. TAU 1

    Ukirudi kiimani mchungaji aliyemuua mke wake baada ya kugundua ni transgender anahesabika kama ametenda dhambi

    Hamna Binadamu yoyote na tena mahali popote mwenye mamlaka ya kutoa roho ya Binadamu yoyote,mamlaka hayo makuu kuhusu roho ya Binadamu anayo Mwe yezi MUNGU tu
  5. TAU 1

    Tellers' kwenye benki zetu wanatuibia pesa zetu bila aibu

    Utaratibu hua mashine ya kuhesabia pesa ni lazima iwe imeelekezwa kwa mteja ili ahakikishe hesabu ya pesa zake
  6. TAU 1

    TANZIA Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

    May Juma Gentle Soul rest well
  7. TAU 1

    Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Mkuu usikate tamaa na kumbuka kukata tamaa ni dhambi mbele ya uso wa MUNGU,amka asubuhi mapema kila siku kwanza ukimuomba MUNGU abariki siku yako na uendelee kusonga mbele,utanishukuru baadae
  8. TAU 1

    Janga la pombe kali na anguko la kizazi: Kilio cha wazazi na hatari kwa Taifa

    Nilikuwa Msibani Mbahe Marangu kwenye msiba wa Mama wa rafiki yangu mkubwa sana,nakumbuka kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ilikuwa September 2024,kuna mbunge wa viti maalum Kilimanjaro alikuwa pia ni rafiki wa familia na alichelewa kidogo kufika Msibani,alicho tueleza pale Msibani ni kwamba...
  9. TAU 1

    Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

    All teams to score
  10. TAU 1

    TANZIA Mtayarishaji nguli na mtunzi wa muziki Quincy Jones afariki dunia

    Alizaliwa 1933 sio 1953 nafikiri itakuwa tu typing error Mkuu please rekebisha
Back
Top Bottom