Wadada wengi sana halitambui hilo tatizo,mara nyingi hutokana na very serious fungal infection and chronic one,wanatakiwa kumuona Gynecologist ambae atachukua diagnostic swabs kuingiza kwenye uke na kufanya culture diagnostic ili apewe dawa itakayo maliza hilo tatizo ones and all
Kila kitu kinapotokea mbele ya uso wa MUNGU,kuna sababu ambazo yeye mwenyewe ana mamlaka nazo na anazijua anafanya kwa sababu gani,pengine wazazi au viapo na maagano ya kafara za mababu
Katika vitu vya kijinga na ushamba mkubwa ulioufanya,kwanza kumnyaganya vitu ulivyo mnunulia kama nguo na simu, kwani huyo mkeo hajawahi Kuwa mwema Katika maisha yako hata kidogo?kuhusu mapenzi yenu na alicho kukosea uwamuzi wako pengine uko sahihi kabisa, pole sana Kaka
Hamna Binadamu yoyote na tena mahali popote mwenye mamlaka ya kutoa roho ya Binadamu yoyote,mamlaka hayo makuu kuhusu roho ya Binadamu anayo Mwe yezi MUNGU tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.