Recent content by Tatenda

  1. T

    JamiiForums Tanzania Great minds

    Power is of two kinds , one is obtained by the fear of punishment and the other by the acts of love . the power based on love is a thousand times more effective and permanent than the one derived from fear of punisment
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi mmoja kwa Wanawake wa Bongo ni Uongo wala haijawahi kutokea, wanaume Shituka..

    msipofanyiwa hvy nyie ni pasua kichwa dawa ni hit and run
  3. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa ushauri, tabia yangu hii imenitenganisha na wapenzi lukuki anatamani kuiacha

    MKUU uwe una picha zao kwenye cm yako na hilo folder ulifunge kabisa na password wife akiuliza unamwambia ni virus na wakitoka na cm inakufa ,hvy ukiwaona we ynauenda fasta unafungua folder lako una enjoy weeeeee then unaendelea
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anayekukataa leo halafu kesho anakutana tatizo ni nini

    lazima utakuwa mtu wa Mara tu si bure yaan umenifurahisha sana PORT
  5. T

    JamiiForums Tanzania Video: Hasira za Rais Magufuli kwa "watu wazembe"

    kikweli tunapanic lakini si vzr kufikia hatua hii,huyu ni kama baba na ni mtu mzima hata kama anakosea hakuna haja ya kutukana
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukicheka na hawa Viumbe Hakika mwisho wa siku watakuliza tu.

    hata kama ila mama zetu akili zao zilikuwa vzr,nyie sasa mmeshachizika mna jeuri,dharau,kujivuna,si wa kweli na mnaangalia pesa tu hakuna mapenzi mnakera sana japo si wote ila asilimia kubwa na ndio maana siku hizi hamuolewi ni kuzalishwa tu we fuatila hata mtaani kwako kuna vibinti vingi...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Kigoma wamuonya Spika Ndugai

    Ndugai asicheze na wazee,amuulize Mudhihir yuko wapi,anaowategemea atawaacha wakila alivyowaandalia naye atakuwa mtu wa ,,,,,,,muda utasema tu
  8. T

    JamiiForums Tanzania Zitto: Serikali imekopa dola Mil 500 mwezi August 2017 kimya kimya na wanafanya siri umma usijue

    uzuri wa zito kabwe haogopi kufa kama ni kuuliwa angekuwa keshauliwa muda sana ila Mungu yuko naye
  9. T

    JamiiForums Tanzania Jinsi Makonda alivyozishinda vita ambavyo hakuna aliyewahi kushinda

    labda familia yako na kizazi chako ndio wamuombee hvy na sio ss watz wenye akili
  10. T

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Serikali inatuwinda kutuua akiwemo Lema, Mbowe & Mdee. Wote tunafuatiliwa na Serikali ya kidikteta

    spika asipoangalia hili bunge litamsumbua sana na linaweza kuwa bunge lake mwisho,kuna baadhi ya wabunge CCM hawafurahii hii hali hata kidogo,asipende kuegemea upande mmoja,hawa wabunge hawakujipeleka bungeni wenyewe kuna watu nyuma yao,hivyo dua za hao watu zitamfanya ashindwe kuongoza...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Pole sana Tundu Lissu, Mungu akuponye!

    TUNDU LISU NI MTU WA WATU HATA HAO WANAOMKEJELI IPO SIKU WATALISHUHUDIA HILI
  12. T

    JamiiForums Tanzania Najuta kupiga kura 2015, sitokaa nipige kura tena

    Uchguzi umekuwa danganya toto hakuna democracia wala uwazi ndio maana hata maendeleo nivigumu kuyafikia kwa sababu yakutumia mfumo wa aina moja kwa kipindi kirefu.:angry::angry:
  13. T

    JamiiForums Tanzania Bei ya bati migongo mikubwa 28G (Gauge 28)

    there is a problem of being a youth
  14. T

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya PAC kuhusu Escrow Kusomwa Jioni Bungeni

    EPA,RICHMOND,KAGODA,MEREMETA,DOWANS, and now TEGETA ESCROW what comes next let them do what they want no one can judge them :hatari:
Back
Top Bottom