Mwanaume nae anapenda, kama ambavyo mwanamke anapoteza nguvu na muda, vivo hivyo kwa mwanaume.
Hakuna anaependa kuoa mwanamke asiye na faida, ila nina imani kama amemwacha wa miaka sita kwaajili ya wa miezi sita, kaona mengi ya msingi.
Na kawaida ya wanaume wengi, akikupenda akaona hauna...