Panaitwa zizini!
Wanaopiga mzigo maeneo ya town wakipata uchovu au kusinzia oficin wanaenda kuchagua wa kuchinja!
Na wapo very submissive hawapigi hata vibuti.
Ule muujuza wa masogange kupitisha kg150 za unga yaan ni sawa na mifuko 3 ya cement ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa huku wana usalama na mbwa wao wakiwa around!
Kazi nzuri kwa awamu ya 4
Mkuu ulikosea mwenyewe tangu mwanzo unajua sikuzote unavyokuja ndivyo mtu anavyokupokea:
mtaishi kama kumbikumbi mpaka lini? There are time u need kuwa na friends and its a must sasakama anakuzuia hilo ni tatizo na kwakuwa haambiliki u have to make decisions as a man!
U should meet friends and...
Unaweza ukampenda mtu halafu asiwe na qualifications za wife material, halafu ikatokea ukameet na ambae hujampenda sana ila akaposses sifa za mke bora.
Mwenzio nilimaliza LLB hiyo hiyo nikaenda jeshi sasahv napeta tu ni Leftnant nina nyota 2,
ila kama unapenda kuwa lawyer nenda law school au kama utaweza piga post au masters ya political science utapata kazi za humanitarian ktk nchi nyingi za africa.
Just follow ur heart dear.
Mmh we nawe! Sema tu sizitaki mbichi hizi tutakuelewa sio mambo ya ufake na umbandia.
Hujui we are in a modern age? We are not in the dark age no bushmen exists.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.