Brob
Member
- May 12, 2013
- 92
- 16
Naweza kusema ni mpenzi wangu ambaye niliishi naye zaidi ya mwaka mmoja nyumbani kwangu kwa lugha nyingine alikua kama mke ila nilikua sijaenda kujitambulisha kwao.
Mkasa ulikua hv
Nilikutana naye akiwa anasoma chuo flani hv cha nursing nilimpenda kwani niliona anasifa zote za kuwa mke alinieleza matatizo yake na familia yake nami nikamuelewa sababu alikua anatoka familia ya kifugaji kama ninayo toka mm hvyo haikuniuwia vigumu kumuelewa aliniomba nimsaidie kwa kipindi ambacho amebakiza chuoni hapo sikufanya hiana kwani nilmpenda toka rohoni ukizingatia nilikua ndo nimeajiriwa tu so sikuwa na majukumu mengi zaidi ya kumsomesha mdogo wangu mmoja tu.
Baada ya kumaliza chuo alienda nyumbani kwao akaa kama wiki mbili akaniomba aje akae karibu na mm nimsaidie kushugulikia maswala ya ajira nilimkubalia akaja nyumbani kwangu ingawa mm nilikua sikai pale kulingana na nature ya kazi yangu so akawa anaishi na mdogo wangu.
Nilijitahidi kufight akawa amepata kazi katika hospital moja na mambo ndo yakaharibika kwani alikua wa tofauti kabisa ilifika siku moja nikamfumania na jamaa akijua mm niko porini lakini nilimsamehe kwa sababu nilikua nampenda na nikajua labda alizidiwa kutokana na mm kuwa porini kwa mda wa mwezi mmoja.
Kibaya zaidi nilivorudi tu kazini kamwambia rafiki yangu mm hanitaki kwani nimemtumia sms kwa kutumia line mpya nikimtuhumu yeye ni malaya.
Hata nilivorudi na kujishusha hakutaka kunielewa.
Basi ndo ukawa mwisho wa mapenzi yetu.
Ingawa mm mpaka leo hii sijapata mpenzi kwani nawaogopa wanawake yeye anaishi na mwanaume ambeye wamejariwa kupata mtoto wa kike.
Ila amekua akipata shida ndogondogo namsaidia kama my x
Sasa Leo kali kanipigia simu anadai kwao kunamatatizo nimsaidie laki tano atanirudishia mwisho wa mwezi Sasa nashindwa kumuelewa nilichomjibu nimemwambia nitakujibu lakini nikaona ni vyema niwashirikishe wadau mnipe hata mawazo.
Nawasilisha wakuu!
Mkasa ulikua hv
Nilikutana naye akiwa anasoma chuo flani hv cha nursing nilimpenda kwani niliona anasifa zote za kuwa mke alinieleza matatizo yake na familia yake nami nikamuelewa sababu alikua anatoka familia ya kifugaji kama ninayo toka mm hvyo haikuniuwia vigumu kumuelewa aliniomba nimsaidie kwa kipindi ambacho amebakiza chuoni hapo sikufanya hiana kwani nilmpenda toka rohoni ukizingatia nilikua ndo nimeajiriwa tu so sikuwa na majukumu mengi zaidi ya kumsomesha mdogo wangu mmoja tu.
Baada ya kumaliza chuo alienda nyumbani kwao akaa kama wiki mbili akaniomba aje akae karibu na mm nimsaidie kushugulikia maswala ya ajira nilimkubalia akaja nyumbani kwangu ingawa mm nilikua sikai pale kulingana na nature ya kazi yangu so akawa anaishi na mdogo wangu.
Nilijitahidi kufight akawa amepata kazi katika hospital moja na mambo ndo yakaharibika kwani alikua wa tofauti kabisa ilifika siku moja nikamfumania na jamaa akijua mm niko porini lakini nilimsamehe kwa sababu nilikua nampenda na nikajua labda alizidiwa kutokana na mm kuwa porini kwa mda wa mwezi mmoja.
Kibaya zaidi nilivorudi tu kazini kamwambia rafiki yangu mm hanitaki kwani nimemtumia sms kwa kutumia line mpya nikimtuhumu yeye ni malaya.
Hata nilivorudi na kujishusha hakutaka kunielewa.
Basi ndo ukawa mwisho wa mapenzi yetu.
Ingawa mm mpaka leo hii sijapata mpenzi kwani nawaogopa wanawake yeye anaishi na mwanaume ambeye wamejariwa kupata mtoto wa kike.
Ila amekua akipata shida ndogondogo namsaidia kama my x
Sasa Leo kali kanipigia simu anadai kwao kunamatatizo nimsaidie laki tano atanirudishia mwisho wa mwezi Sasa nashindwa kumuelewa nilichomjibu nimemwambia nitakujibu lakini nikaona ni vyema niwashirikishe wadau mnipe hata mawazo.
Nawasilisha wakuu!