mh ama kweli no true love nw dayz...kwa ugonjwa tu umemtenga je huko mbeleni..
chapa lapa huko yan inadhihirisha jinsi gan huna mapenzi ya dhati kwa mwenzio..hapo kakwambia je asingekwambia? kazi kweli kweli
inawezekana haswaa shetani akiamua lake....mbona watu povu linawatoka hasa mlio oa lol..mwenzenu katoa hisia zake kwa aliyoona u may take or leave it !!!
yan siamin nyinyi ndo wakwanza kumchuza mdada wa watu loh,badae oh wadada warahisi kweli...naona asilimia tisini na tisa mnamchuza tu.Mwisho wa siku dada uwe na msimamo mwenyewe na utumie akili yako ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.