Mungu akuponyeshe haraka na akukinge na wabaya wako wote ambao wanataka kuitoa roho yako mweshimiwa Lissu, roho ndio itiayo uzima mwili haufai kitu. Waliopanga kuutuo uhai wako wakamatwe na haki itendeke
hapa shule ya nsingi mwongozo vijana ni wengi sana na wana hari ya hali ya juu japo baadhi ya mawakala wanazingua wengine hadi sasa hawajaanza hata kupiga kura
Lowasa ndiye Rais wa awamu ya 5 hilo halina ubishi angalia nguvu nyingi inayotumiwa na CCM lakini bado Lowasa anakibalika sana hilo halina ubishi pia anajiamini sana
Tunahitaji kiingozi atakaye ondoa umaskini Tanzania na si kiongozi wa kujinufaisha na rasilimali za watanzania CCM lazima watumie hiyo nguvu kubwa maana hali yao hadi sasa ni tete mwaka wa mabadiliko ndio huu 25/10/2015 TOROKA UJE LOWASA DAY
Mleta mada huna uhakika kuwa ni vijana wa Chadema au Ukawa, kama kweli picha zimechanwa inawezekana ikawa wana CCM, Wana Ukawa au wana ACT wenyewe ili isemekane CDM ama UKAWA ndio waliozichana ila mwisho wa taarifa za uongo kama zako ni leo sheria ya mitandao inaanza kazi kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.