'Maamuzi Magumu' na Tundu Lissu

'Maamuzi Magumu' na Tundu Lissu

Mtafi

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
235
Reaction score
64
Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania.

Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.

Habari ndani kutoka kwa wadau wake ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.
 
MAAMUZI MAGUMU NA TUNDU LISSU:

Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania. Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.
-
Habari ndani kutoka kwa wadau wake -ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.

Lissu fanya mabadiliko mapema achana na hao wapiga dili wanakuchafua.
 
MAAMUZI MAGUMU NA TUNDU LISSU:

Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania. Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.
-
Habari ndani kutoka kwa wadau wake -ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.

Dozi ya Kingunge imekuingia.Dozi ya mabadiliko ambayo yamechelewa.Lissu ni jembe la mabadiliko!!
 
MAAMUZI MAGUMU NA TUNDU LISSU:

Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania. Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.
-
Habari ndani kutoka kwa wadau wake -ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.

Tundu Lisu yupo unayemsema?.Usiwe kama mganga wa kienyeji kwa kutoa mchana kweupe.
 
Wakati wa mabadiliko ukifika vi propaganda uchwara kama vyako mtoa mada uwa haviwezi kubadili upepo,Hosni Mubarak wa Misri alikuwa na the best military in Africa na aliwaweka vizuri sana wanajeshi lakini mda wa mabadiliko ulipofika ata jeshi lilishindwa kuzuia mafuriko ya Umma...Ccm Out
 
Haijalishi, ila Lissu atabaki kuwa mwanasiasa mpuuzi kabisa kuwahi kutokea katika karne hii, when he had a chance to be the most influential politician of all the time

Akina mbowe wamemtumia, ametumika kuwachafua na kujaribu kuzima ndoto za akina Zitto kabwe

kachakaza elimu yake, heshima yake, kabaki anabwatuka tu, hana mbele hana nyuma , hana ideology hana theory kabaki maamuma tu
 
Mnatafuta njia yakutuliza issue ya Kingunge kuendelea kupamba kurasa atiee??????
 
MAAMUZI MAGUMU NA TUNDU LISSU:

Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania. Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.
-
Habari ndani kutoka kwa wadau wake -ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.

hata akiondoka mbowe ukawa itabaki
 
Haijalishi, ila Lissu atabaki kuwa mwanasiasa mpuuzi kabisa kuwahi kutokea katika karne hii, when he had a chance to be the most influential politician of all the time

Akina mbowe wamemtumia, ametumika kuwachafua na kujaribu kuzima ndoto za akina Zitto kabwe

kachakaza elimu yake, heshima yake, kabaki anabwatuka tu, hana mbele hana nyumba , hana ideology hana theory kabaki maamuma tu

Mda ukifika mtaweka historia vizuri,mageuzi ya Tanzania vinara ni Seif Sharif Ahmad,Mapalala,Alex Che Mponda,Chief Fundikira,Mtikila (Rip),Alex Che Mponda,Mabere Marando,Mzee Chipaka,Momose Cheyo,Mbatia nk.Akina Lipumba,Zitto,Slaa nk walikuja 2nd phase
 
MAAMUZI MAGUMU NA TUNDU LISSU:

Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania. Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.
-
Habari ndani kutoka kwa wadau wake -ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.

Hahahhaah. Ni ndoto
 
MAAMUZI MAGUMU NA TUNDU LISSU:

Habari za uhakika ni kwamba Lissu yupo katika maandalizi ya kufanya maamuzi magumu, amabayo yatabadilisha mwelekeo wa siasa za Tanzania. Kwa muda mrefu Lissu amekuwa akitofautiana na wenzake Chadema japo hakutaka kuonekana wazi baada ya kuondoka Dr Slaa.
-
Habari ndani kutoka kwa wadau wake -ni kwamba kuna uwezekano mkubwa akaonekana kuwa na msimamo tofauti na chama chake kwa sasa.

Mmmmh haya sisi tunasubiri
 
Back
Top Bottom