mkuu kashfa kashfa hata kupitia mitandao ya kijamii zinatufikia kama umeamua kukemea zungumzia na kotekote kwenye radio na mitandao na shauri vyombo husika
hahahaha,pisikali au priska,[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji23]vigezo vya kuwa pisi kali ni vipi?maana mleta mada anasema muhusika yaani muhanga wa tukio ni msomi haitakiwi kuitwa pisi kali#nauliza tu wajameni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.