Recent content by Tarehe

  1. T

    Kwanini kuna Mzungu, Mwaafrika, Mhindi, Mwaarabu?

    tusaidiane kufahamishana
  2. T

    Huyu ndiye mtangazaji mrembo kuliko wote Tanzania

    unajua mwenye hii post ni mpumbavu ila ndio hivyo amekiri mmyewe maana alisema"binafsi yeye ameona ni mzuri"
  3. T

    Tupia jina la memba mmoja wa JF ambaye katoweka humu

    Jack Ma (tajiri wa china)
  4. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    hahahaha,pisi kali ni watu wa aina gani?nyongeza tu wakuu
  5. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    wale walitumia mafumbo hata ukiwashtaki sijui kama utawakuta na kosa lolote
  6. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    mkuu kashfa kashfa hata kupitia mitandao ya kijamii zinatufikia kama umeamua kukemea zungumzia na kotekote kwenye radio na mitandao na shauri vyombo husika
  7. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    huo usomi mbona unausizitiza sana utafikiri dunia nzima kasoma yeye peke yake au alikuletea malalamiko
  8. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    mkuu pisi kali ni mtu wa aina gani?vipi kuhusu hiyo ya kigogo na Dc mbona hauilaani! ukizingatia ni viongozi wakubwa!
  9. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    mleta mada siyo muslewa halafu ana roho nyepesi
  10. T

    Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

    hahahaha,pisikali au priska,[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji23]vigezo vya kuwa pisi kali ni vipi?maana mleta mada anasema muhusika yaani muhanga wa tukio ni msomi haitakiwi kuitwa pisi kali#nauliza tu wajameni.
  11. T

    Shahidi ni mtu gani?

    siku hizi shahidi siyo lazima awe eneo la tukio,unaweza kumchukua hata wa mikoani akaja kutoa ushahidi mjini na ukashinda kesi
  12. T

    Shahidi ni mtu gani?

    siku hizi shahidi siyo lazima awe eneo la tukio,unaweza kumchukua hata wa mikoani akaja kutoa ushahidi mjini na ukashinda kesi
  13. T

    Nitumie njia gani niisahau pombe?

    ok,nitashukuru mkuu
Back
Top Bottom