Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
sawa
unajua mwenye hii post ni mpumbavu ila ndio hivyo amekiri mmyewe maana alisema"binafsi yeye ameona ni mzuri"Hivi unatumia kigezo gani kutuaminisha watu wote kuwa huyo ndie mtangazaji mzuri/mrembo kuliko wote Tanzania?
Watanzania hivi tupoje? Ukisema mtu fulani kuwa ni mzuri (kwa kutumia vigezo vyako tusivyovijua)ni lazima tukubaliane na wewe kuwa ni mzuri?
Hahaaa hana kinu kabisa hamna kitu hapo
Huyu Dada ni moto sana.... Namzimia kinyama... mzuri balaa.TBC TAIFA BABA LAOOO
Nampenda sana Meena the way her are.
Hii..inchi kila mtu mchambuzi, mtafiti, star, mentor, manager yaaniii shida tupu 😂😂😂😂😂. Tuishi nao tuu mkuuHivi unatumia kigezo gani kutuaminisha watu wote kuwa huyo ndie mtangazaji mzuri/mrembo kuliko wote Tanzania?
Watanzania hivi tupoje? Ukisema mtu fulani kuwa ni mzuri (kwa kutumia vigezo vyako tusivyovijua)ni lazima tukubaliane na wewe kuwa ni mzuri?
Loh! English nzuri sana.Nampenda sana Meena the way her are.