Kwanini kuna Mzungu, Mwaafrika, Mhindi, Mwaarabu?

Inawezekana wote waliumbwa na rangi moja wakabadilika mbele kwa mbele
 
Badala ya kutoa mawaidha ungejibu maswali yake.
"Enyi watu! kwa hakika Tume-
waumbeni katika kiume na kike, na
Tumewafanyeni mataifa na makabila
ili mjuane; hakika aheshimiwaye sana
miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi
Mungu ni yule amchaye zaidi katika
ninyi. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ni
Mjuzi, Mwenye habari."

Qur'an surat Al-Hujuraat
 
Ukichanganya Biblia na Quran utachanganyikiwa zaidi.
'Tangu mwazo huyu Neno alikuwepo, na huyu Neno alitoka kwa Neno'
M
ungu akasema ' haya na tumuumbe binadamu kwa mfano wetu' Jiulize Mungu alikuwa anaongea na nani?
Soma maandiko vyema (Biblia kitabu cha mwanzo) tena kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa vyema haya.
 
Waafrika walitokana na kizazi Cha laana baada ya gharika ya NUHU;
Mwanzo 9:25
[25]Akasema,
Na alaaniwe Kanaani;
Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.

Baba yake Kaanani (HAMU) alimchungulia NUHU uchi wake.

Mwanzo 9:22-23
[22]Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
[23]Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.

Mwanzo 10:6
[6]Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.

Ikumbukwe KUSHI hurejewa badala ya Ethiopia.

SOMA BARAKA ZA WAZUNGU HIZI NA WENGINE WATAJWA KUNUFAIKA NAZO LAKINI SIO WAAFRIKA.

Mwanzo 9:22,26-27
[22]Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
[26]Akasema,
Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu;
Na Kanaani awe mtumwa wake.
[27]Mungu akamnafisishe Yafethi.
Na akae katika hema za Shemu;
Na Kanaani awe mtumwa wake.

Japokuwa naamini baada kifo Cha YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI LAANA ZOTE ZILIFUTWA.
 
Back
Top Bottom