Serikali wazembe sana.
1. Walimuwezaje nduli alafu wanawashindwa wauwaji wa kibiti?
2. Waliwezaje Congo alafu wanashindwaje ya kibiti?
3. Waliwawezaje wale wa kule visiwan ( shelisheli) na wanawashindwaje wa kibiti?
4. Waliwezaje kuyazimisha ya Joyce banda na wanayashindwaje ya kibiti?
Au ndo...
Kibamia ni maumbile tu ya mtu sio kwa Sababu ya kuwahi kutailiwa.
Mimi niliambiwa nilitailiwa wakati ninatambaa kwa Sababu ya mashambulio UTI.
Leo hii Nina 30 something na niko pouwa kama wengine.
Mmmmh! Kim alisema vita itapigwa u.s.a.
Vilevile mnajua wiki hii trump alikuwa na mpango wa kukutana na bwana kim?
Mnajua kama raisi wa s.korea kaomba kuurudisha uhusiano wake na n.k
MNAJUA LEO BWANA KIM KAFANYA JARIBIO LINGINE NA LIMEFANIKIWA KWA 100%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.