Msungu inv
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 260
- 192
Mvumilivu hula mbivu
CCM hakina wasafi, waliobaki wote makapi ndio maana mkulu kaanza kutizama nje ya chama chake ili apate wasafi.Wanabodi habari za jioni,Poleni sana na Majukumu
Awali ya yote naomba kudeclear interest, mimi ni CCM , Damu yangu ya kijani kibichi kabisa, mzalendo wa hali ya juu.
Najitokeza rasmi mbele yenu leo hii kuonesha hisia zangu kuhusu uteuzi wa Mh. Anna ambae ni Mwenyekiti na Chama cha upinzani.
Nimesikitika sana, nimenyong'onyea sana, nimejisikia vibaya mno.
Nimekuwa nikifanya vema kazi za chama changu cha CCM kwa ufanisi wa hali ya juu na uzalendo, nimekuwa nikipambana na kila anaejaribu kukashfu chama changu ama kiongozi wangu hasa Rais wetu Mtukufu , nimepambana pia muda mwingine kupindisha hata ukweli ili mradi tu chama kisipate kashfa yeyote. Nimefanya kazi hii kwenye mitandao yote ya kijamii, nimepambana vilivyo na mtu anaeitwa Mange Kimambi kwenye mtambo wa Instagram, hii yote ni kwa sababu ya kulinda chama ili chama nacho kinilinde.
Nimesikitika sana wazalendo wa chama tunaachwa, wanachukuliwa watu ambao hawajui machungu na mateso tuliyoyapata sisi wengine ambao muda mwingine tumepambana kupindisha ukweli ili walau tukumbukwe siku moja.
Nimejiuliza sana, huyu mama kipindi cha kampeni alinadi sera zake, sisi tulinadi pia sera zetu, leo hii anaenda kutekeleza ilani ya chama ipi?? Otherwise tunaomba viongozi wetu watuweke wazi kama hawa walikuwa mapacha wetu ama walikuwa sehemu ya mkakati wetu kudhoofisha wapinzani wetu kipindi hicho.
BTW,
Mimi ni mtu mwenye vyeti vyangu halali , sina waswasi wowote , nimeachwa , Mheshimiwa katika hili amenisikitisha sana, sasa naangalia utaratibu mwingine, vijana wenzangu wa upinzani nakuja mtaani naomba msinitenge, nimechoka kuitesa dhamira yangu.
Najiunga rasmi na nyie wazalendo wenzangu, naomba mnipokee .....
Wasalaam!!!!!!!
Wizara ya madini au mambo ya ndani?Hii Mbona inajulikana tangu kitambo,
Bado "kiongozi mkuu" wa kile Chama kupewa wizara, we subiri tu!
Kunywa maji mengi!
Pamoja na kwamba alikua upinzani lakini bado alikua anaikubali ccm. Nadhani suala ni kuwatumikia wananchi na kutekeleza ilani ya chama tawala. Hawez tekeleza ilani ya ACT. Unajua kuna wapinzani na wapingaji wa maendeleo. Huyu ni mpinzani. Lakini wale wapingaji laxima wataisoma nambaWanabodi habari za jioni,Poleni sana na Majukumu
Awali ya yote naomba kudeclear interest, mimi ni CCM , Damu yangu ya kijani kibichi kabisa, mzalendo wa hali ya juu.
Najitokeza rasmi mbele yenu leo hii kuonesha hisia zangu kuhusu uteuzi wa Mh. Anna ambae ni Mwenyekiti na Chama cha upinzani.
Nimesikitika sana, nimenyong'onyea sana, nimejisikia vibaya mno.
Nimekuwa nikifanya vema kazi za chama changu cha CCM kwa ufanisi wa hali ya juu na uzalendo, nimekuwa nikipambana na kila anaejaribu kukashfu chama changu ama kiongozi wangu hasa Rais wetu Mtukufu , nimepambana pia muda mwingine kupindisha hata ukweli ili mradi tu chama kisipate kashfa yeyote. Nimefanya kazi hii kwenye mitandao yote ya kijamii, nimepambana vilivyo na mtu anaeitwa Mange Kimambi kwenye mtambo wa Instagram, hii yote ni kwa sababu ya kulinda chama ili chama nacho kinilinde.
Nimesikitika sana wazalendo wa chama tunaachwa, wanachukuliwa watu ambao hawajui machungu na mateso tuliyoyapata sisi wengine ambao muda mwingine tumepambana kupindisha ukweli ili walau tukumbukwe siku moja.
Nimejiuliza sana, huyu mama kipindi cha kampeni alinadi sera zake, sisi tulinadi pia sera zetu, leo hii anaenda kutekeleza ilani ya chama ipi?? Otherwise tunaomba viongozi wetu watuweke wazi kama hawa walikuwa mapacha wetu ama walikuwa sehemu ya mkakati wetu kudhoofisha wapinzani wetu kipindi hicho.
BTW,
Mimi ni mtu mwenye vyeti vyangu halali , sina waswasi wowote , nimeachwa , Mheshimiwa katika hili amenisikitisha sana, sasa naangalia utaratibu mwingine, vijana wenzangu wa upinzani nakuja mtaani naomba msinitenge, nimechoka kuitesa dhamira yangu.
Najiunga rasmi na nyie wazalendo wenzangu, naomba mnipokee .....
Wasalaam!!!!!!!
Vijana ccm wameisha?Pamoja na kwamba alikua upinzani lakini bado alikua anaikubali ccm. Nadhani suala ni kuwatumikia wananchi na kutekeleza ilani ya chama tawala. Hawez tekeleza ilani ya ACT. Unajua kuna wapinzani na wapingaji wa maendeleo. Huyu ni mpinzani. Lakini wale wapingaji laxima wataisoma namba
Hahah kumbe wewe ni wa kudeclear interest kwa kutetea uongo wa chama cha ccm basi ujue malipo yako lazima upate uongo ule ulioupanda. Ungesema unadeclare interest ningekuelewa kuliko kudeclear interest.Wanabodi habari za jioni,Poleni sana na Majukumu
Awali ya yote naomba kudeclear interest, mimi ni CCM , Damu yangu ya kijani kibichi kabisa, mzalendo wa hali ya juu.
Najitokeza rasmi mbele yenu leo hii kuonesha hisia zangu kuhusu uteuzi wa Mh. Anna ambae ni Mwenyekiti na Chama cha upinzani.
Nimesikitika sana, nimenyong'onyea sana, nimejisikia vibaya mno.
Nimekuwa nikifanya vema kazi za chama changu cha CCM kwa ufanisi wa hali ya juu na uzalendo, nimekuwa nikipambana na kila anaejaribu kukashfu chama changu ama kiongozi wangu hasa Rais wetu Mtukufu , nimepambana pia muda mwingine kupindisha hata ukweli ili mradi tu chama kisipate kashfa yeyote. Nimefanya kazi hii kwenye mitandao yote ya kijamii, nimepambana vilivyo na mtu anaeitwa Mange Kimambi kwenye mtambo wa Instagram, hii yote ni kwa sababu ya kulinda chama ili chama nacho kinilinde.
Nimesikitika sana wazalendo wa chama tunaachwa, wanachukuliwa watu ambao hawajui machungu na mateso tuliyoyapata sisi wengine ambao muda mwingine tumepambana kupindisha ukweli ili walau tukumbukwe siku moja.
Nimejiuliza sana, huyu mama kipindi cha kampeni alinadi sera zake, sisi tulinadi pia sera zetu, leo hii anaenda kutekeleza ilani ya chama ipi?? Otherwise tunaomba viongozi wetu watuweke wazi kama hawa walikuwa mapacha wetu ama walikuwa sehemu ya mkakati wetu kudhoofisha wapinzani wetu kipindi hicho.
BTW,
Mimi ni mtu mwenye vyeti vyangu halali , sina waswasi wowote , nimeachwa , Mheshimiwa katika hili amenisikitisha sana, sasa naangalia utaratibu mwingine, vijana wenzangu wa upinzani nakuja mtaani naomba msinitenge, nimechoka kuitesa dhamira yangu.
Najiunga rasmi na nyie wazalendo wenzangu, naomba mnipokee .....
Wasalaam!!!!!!!
Hahahaha we Jamaa upo ?????Hili ni funzo kwako kwamba unatakiwa uwe unatetea kitu kwa kuwa ni sahihi na sio kwa kujipendekeza ili uteuliwe.
Al'batwat,at batiati fil'mash
Chama cha ACT ni muumini wa Katiba ya Warioba. Walisema wakiingia Madarakani watafuta nafasi za DCs na RCs. Leo amepewa nafasi aliyotarajiwa kuifuta. Hongera Mamii.Wanabodi habari za jioni,Poleni sana na Majukumu
Awali ya yote naomba kudeclear interest, mimi ni CCM , Damu yangu ya kijani kibichi kabisa, mzalendo wa hali ya juu.
Najitokeza rasmi mbele yenu leo hii kuonesha hisia zangu kuhusu uteuzi wa Mh. Anna ambae ni Mwenyekiti na Chama cha upinzani.
Nimesikitika sana, nimenyong'onyea sana, nimejisikia vibaya mno.
Nimekuwa nikifanya vema kazi za chama changu cha CCM kwa ufanisi wa hali ya juu na uzalendo, nimekuwa nikipambana na kila anaejaribu kukashfu chama changu ama kiongozi wangu hasa Rais wetu Mtukufu , nimepambana pia muda mwingine kupindisha hata ukweli ili mradi tu chama kisipate kashfa yeyote. Nimefanya kazi hii kwenye mitandao yote ya kijamii, nimepambana vilivyo na mtu anaeitwa Mange Kimambi kwenye mtambo wa Instagram, hii yote ni kwa sababu ya kulinda chama ili chama nacho kinilinde.
Nimesikitika sana wazalendo wa chama tunaachwa, wanachukuliwa watu ambao hawajui machungu na mateso tuliyoyapata sisi wengine ambao muda mwingine tumepambana kupindisha ukweli ili walau tukumbukwe siku moja.
Nimejiuliza sana, huyu mama kipindi cha kampeni alinadi sera zake, sisi tulinadi pia sera zetu, leo hii anaenda kutekeleza ilani ya chama ipi?? Otherwise tunaomba viongozi wetu watuweke wazi kama hawa walikuwa mapacha wetu ama walikuwa sehemu ya mkakati wetu kudhoofisha wapinzani wetu kipindi hicho.
BTW,
Mimi ni mtu mwenye vyeti vyangu halali , sina waswasi wowote , nimeachwa , Mheshimiwa katika hili amenisikitisha sana, sasa naangalia utaratibu mwingine, vijana wenzangu wa upinzani nakuja mtaani naomba msinitenge, nimechoka kuitesa dhamira yangu.
Najiunga rasmi na nyie wazalendo wenzangu, naomba mnipokee .....
Wasalaam!!!!!!!
Unachokisema kina matter mkuu, ila nilishaondoka tayari hukoWewe kama umehuzunishwa sana jiuzuru au kata rufaa kwa bosi wako
Le mutuz hatuna undugu zaidi ya kupotosha watu huku social media ili tupate mkate na misifa ya kijingaSorry mtoa mada una undungu na LEMutuz
Poa kaka but Huyu Raisi tuliyenae hatabiriki yahitajika uvumilivu was hali ya juu nduguUnachokisema kina matter mkuu, ila nilishaondoka tayari huko
Huyu jamaa hawezi kuniteua ndugu yangu, akishaona umemdiss ndio basi tenaKupindisha ukweli ndo kilichokuponza jarubu kuwa mkweli na siyo kuwa mnafiki utateuliwa tu
Ila mkuu ulishaelewa nilichomaanisha, me sipo tena hukoHahah kumbe wewe ni wa kudeclear interest kwa kutetea uongo wa chama cha ccm basi ujue malipo yako lazima upate uongo ule ulioupanda. Ungesema unadeclare interest ningekuelewa kuliko kudeclear interest.