Yaaaani jiwe ni mixtape kabsaa aeleweki anasimamia nini?najuta kuomba hii kazi na apo apo anakwambia sijui nikitoka nani ataendeleza haya mazuri.....hahahaha ngoja tuendelee kucount down
Maovu ni maovu tu na watu wakuzungumzia maovu ni viongozi wa dini so we ulitaka ushauri huu autoe lowasa au mbowe ndo kazi zao?vipi kuhusu wewe ambae auna akili timamu mpaka ukacoment ivo kwa kuona baba askofu anakosea kweli we una utimilifu wa fikra huru au fikra fungwa
Konkiii xaana iyo point mzazi nilikumisi saaana na kuna ivo vipost vya mfananisho wako niliviona ila kama ni wewe ulikua ndo nazidi kuelewa u game changer wako ulivo katika utambulisho hahaha welcome back babuu/bibii
Habarini wadau,juzi nilikatiza bbc world news nikakutana na hard talk na mgeni mhojiwa alikua ni albert woodfox kwang ndo ilikua mara ya kwanza kumsikia nikasema ngoja nickilize mahojiano yake mpaka mwisho,nilivutiwa na kutaka kujua historia ake kiufupi,
Najua iko google but kuna watu humu ni...
Mi naona ni movie nzuri walivomjibu il8 xaxa afunguke vizuri awatukane tena ili wajue je wenye mamlaka watasemaje ili team yao 2020 ishinde kiuraisi kutokana wenye mamlaka ya ķumbana uyu mazishi(musiba) kumkaushia yaani ccm 2020 patamu saana coz ushindi unaenda upande wa pili vita ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.