What is important of that big office if the people starve to death?? I know we all have a long way to go and our countries(Tanzania & Kenya) still have to face the main challenges of poverty, illiteracy and diseases. For me equipping the majority poor citizens with education, rescuing them from...
Naona kuna baadhi ya watu wanakomaa tu mara ujamaa mara ubepari wakati hawana uelewa wa kutosha kuhusu hii mifumo miwili ya kiuchumi. kiukweli Tanzania sio uchumi wa ujamaa tena wala haiwezi kuwa hivyo na hata kama kuna kiongozi atakuja na Sera za kijamaa atashindwa vibaya mno kuendesha nchi...
China wamewekezaje? wameacha kichina na kufundisha kingereza tuu au wanaendelea na kichina chao na kujifunza kingereza pia(if yes mbona ndo ilo analokataa lisu?)
For me tunahitaji lugha zote mbili kiswahili kama lugha yetu na kingereza kama lugha ya kimataifa, ni kweli hatuko fluent in English...
Ndg zangu swala la mpangilio wa makazi ni tusimlaumu magufuli ni la miaka mingi kuanzia miaka ya tisini, kwa kweli kama kuna kitu awamu zilizopita hasa ya pili tatu na nne ni kushindwa kuwa na mpango mzuri wa makazi, na inasikitisha kuona kuwa hii idara ya mipango miji ilikuwepo. Binafsi sijaona...
Katika sentensi moja bila shaka unamaanisha kuboresha mazingira ya uwekezaji na urahisi wa kufanya biashara "easy of doing business " kwa kiasi Fulani nakubaliana na wewe lkn kwa upande wangu naona tatizo liko asilimia 95% kwa taasisi zinazotoa huduma yaani wale wahusika na asilimia 5%tu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.