Recent content by tanzanian gal

  1. tanzanian gal

    Diamond Platnumz anunua nyumba mpya

    Hata km imeshatumika ni ya kwake we ya kwako isotumika iko wapi!! Congrats baba tiffah ww ni mfano mzuri wa kuigwa kw 7bu wengine hata kibanda cha nyasi hawana kazi povu tyu wameumbwa kutosaport wenzao hata wakifanya kitu kizuri
  2. tanzanian gal

    Tukumbushane: Historia ya Wahehe wa Iringa

    Na vp kuhusu historia ya kujinyonga
  3. tanzanian gal

    Wasanii waliofulia baada ya kujitoa kwa Babu Tale

    Suma Lee mzee wa chungwa hakufulia amemrudia muumba wake kaachana na ya dunia na hiv sasa ni sheikh na nyimbo anazoimba ni Qaswida
  4. tanzanian gal

    Kijana ambaka bibi kizee wa miaka 84

    Hivi hapo kuna ladha yoyote anayopata kha ugumu mwingine ni shida anaweza hata kubaka mtoto wake huyo wa miezi 2
  5. tanzanian gal

    Fuvu la binadamu ndani ya Ofisi ya Diamond

    Lingekuwa la uchawi angeliweka live kila ataeingia alione bila ck kupita kumuongelea Simbaa hamjauza magazeti yenu basi kazi mnayo watanzania tupo nyuma sana mtu akifanikiwa tu mchawi kwa hiyo furaha kuendelea kuwa masikini badala ya kuwa na wivu wa maendeleo tuna wivu wa kudis mali za wengine...
  6. tanzanian gal

    Ushauri: Mdogo wangu ni shoga, alianza akiwa shuleni

    Kumfukuza ndo mmeharibu kabisaa
  7. tanzanian gal

    Wema Sepetu anakoelekea siko

    Alikuwaga mzuri sana zamani
  8. tanzanian gal

    Wema Sepetu anakoelekea siko

    Yani mimi ningekuwa km huyo mdada wema na hilo tako km furushi la mwizi hakyanani nisingemvulia nguo kila mwanaume ningeona aibu kwa kweli
  9. tanzanian gal

    Nimemwadhibu dada wa kazi, majirani wanaingilia

    Tatizo lake akiambiwa vya ukweli Ana panic yeye hataki kurekebishwa tabia yake uuwiii ngachoka mie
  10. tanzanian gal

    Nimemwadhibu dada wa kazi, majirani wanaingilia

    Jirekebishe ukiambiwa ukweli kiburi tu si maungwana
  11. tanzanian gal

    Nimemwadhibu dada wa kazi, majirani wanaingilia

    Usikute huyu akitoka kazini ndani ya gari vioo tinted hasalimii hata majirani zake hajui kwamb ukipata shida uck wa ma8 jiran yako ndo wa kwanza kukusaidia ndugu wapogo mbalii
  12. tanzanian gal

    Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

    Chid benz amedereva sana kwa kweli
  13. tanzanian gal

    Nimemfuma mke wangu akisagana na house girl

    Nilimwambia tu sipendi ni ivo tu jubu rahisi sana na pale mwenzio anapokuambia hataki huwezi kumlazimisha
Back
Top Bottom