Ushabiki maandazi wa Mpira..
Jitu linaacha shughuli za msingi eti kisa Kuna Mechi linaenda kutazama...
Au Liwaziri linasimama Bungeni badala liongee mambo ya msingi, linaanza kuzungumzia Usimba na Uyanga...
Mkuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani...
Ni sawa na kusema tayari Petrol imeshasambaa kwenye nyasi Kavu ila hapajatokea Cheche za kusababisha Mlipuko...
Huenda Katambi alikuwa Pandikizi la Serikali ndani ya Chadema.. Ole Sosopi alifaa kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA by then ila sijui nini kilitokea akashinda huyu licha ya kutokuwa na influence ndani na nje ya Chama..
Nakumbuka kipindi Lissu amepigwa Risasi, BAVICHA chini ya Mwenyekiti wake Katambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.