Recent content by TANMO

  1. TANMO

    JamiiForums Tanzania Biashara mpya Tanganyika: Majeneza used

    Mtumishi vipi, umerejea Tena kwenye Ulozi?
  2. TANMO

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Ukweli mchungu. Katika Sehemu tumekosea kama Taifa ni kuruhusu Biashara kwenye Sekta za Elimu na Afya..
  3. TANMO

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Manzse, Mburahati, Kigogo, Magomeni, Mabibo.. Kote huku wabomoe zile slums Mji upangiliwe.
  4. TANMO

    JamiiForums Tanzania TBT: Uzuri una generations, dada. Usijione umevunja rekodi ya urembo. Sikiliza "Mabinti" ya FA na "Kama Unataka Demu" ya Jay Moe

    Na wengi wao, udongo umeshawameza.. RIP Wadada wazuri wa zama zile..
  5. TANMO

    JamiiForums Tanzania Chanuo ataka kurudi kwa mumewe YJ aliyemdhilisha mitandaoni, hii dunia hii

    Chanuo Madebe YJ Hawa ni Binadamu ama ni animation?
  6. TANMO

    JamiiForums Tanzania Daktari anayedaiwa kumpiga trafiki aachiwa kwa dhamana

    Hivi kwenye hii kesi Mlalamikaji ni nani? Ni Jamhuri ama ni yule Askari Andrew?
  7. TANMO

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Kwa CCM hii ya Sasa, Nyerere angelikuwa hai unadhani bado angelikuwa Mwanachama mule?
  8. TANMO

    JamiiForums Tanzania MIMI USHUHUDA: Naamini Sisi CCM Tuanhitaji Zaidi Katiba Mpya Zaidi ya Makundi Mengine Nchini

    Nakuelewa sana. Si vibaya na nyie Mkiisoma Namba pia..
  9. TANMO

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Kumbuka Hii kesi tayari Ina Public interest, Mwamba anaweza kupigwa Faini ama kifungo Cha nje ili kupunguza kelele Mitaani. Na kama ni kifungo Cha ndani hawawezi kumpa Miaka Gerezani. All in all watamkuta na hatia..
  10. TANMO

    JamiiForums Tanzania Wakenya wamewashindwa wahamiaji haramu wasomali wameona wanyonge wao ni Warundi? Hii ni nini??

    By nature Binadamu ni kiumbe kinachohama kutoka eneo Moja kwenda lingine, Hii mipaka ya kisiasa ndiyo inafanya immigration ionekane kama ni jambo la haramu.. Wakenya kupambana na Warundi ni rahisi zaidi kuliko wasomali, kwanza Kwa sababu ni Jamii ya Daraja la chini na biashara zao hazina...
  11. TANMO

    JamiiForums Tanzania Trafiki andrew aliyehusika na tukio la ugomvi lugalo leo huwa anatabia ya kufokea madereva

    Kuna umuhimu tuanze kuheshimu hii kazi ya Upolisi.. Haiwezekani wale wanaofeli Kidato Cha nne ndiyo wanaonekana wanafaa kusomea Upolisi..
  12. TANMO

    JamiiForums Tanzania TANZIA Askari Godfrey Mahundi afariki dunia

    Sababu za kifo chake? Mazishi yatafanyikia wapi? Nafasi yake ndani ya Jeshi na Jamii Kwa Ujumla? Taarifa iongezewe Nyama.. Vinginevyo msingeipost..
  13. TANMO

    JamiiForums Tanzania Madee: Niliweka nyumba bondi kwa Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    "nilimtegemea Babu Tale atoe pesa ila alichelewa"
Back
Top Bottom