Kumbuka Hii kesi tayari Ina Public interest, Mwamba anaweza kupigwa Faini ama kifungo Cha nje ili kupunguza kelele Mitaani. Na kama ni kifungo Cha ndani hawawezi kumpa Miaka Gerezani.
All in all watamkuta na hatia..
By nature Binadamu ni kiumbe kinachohama kutoka eneo Moja kwenda lingine, Hii mipaka ya kisiasa ndiyo inafanya immigration ionekane kama ni jambo la haramu..
Wakenya kupambana na Warundi ni rahisi zaidi kuliko wasomali, kwanza Kwa sababu ni Jamii ya Daraja la chini na biashara zao hazina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.