Hapa tatizo siyo wao bali ni sisi. Tunawanyenyekea sana.
Mimi kwa kweli kama wao ndiyo wameniomba niende halafu Ubalozini kwao wananiwekea zengwe Wala nisingehangaika kubembeleza..
Mwaka Jana nilituma maombi kwa Njia ya Niconect ilikuwa siku ya Jumatatu, siku hiyo hiyo akaja Surveyor.. Kesho yake siku ya Jumanne asubuhi nikatumiwa Control number nikalipia. Siku inayofuata yani Jumatano wakaja Mafundi wakaniwekea Umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.