Recent content by TANMO

  1. TANMO

    Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

    Wazo zuri. Shida Bado inabaki kuwa Wanasiasa wana sauti kuliko watumishi wa Umma ..
  2. TANMO

    Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

    Sasa asipokupa si utamchukulia poa mkuu? Lazima akupe, na wengine wakipigiwa simu ya kazini anaweka loud speaker ili mjue siyo mwenzenu.
  3. TANMO

    Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

    Hapa tatizo siyo wao bali ni sisi. Tunawanyenyekea sana. Mimi kwa kweli kama wao ndiyo wameniomba niende halafu Ubalozini kwao wananiwekea zengwe Wala nisingehangaika kubembeleza..
  4. TANMO

    Bei za maji katika Nyumba za kupanga ni mateso

    Life is not a Group project Bro..
  5. TANMO

    Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

    Pole mkuu. Imagine wanakuhitaji na ndiyo wameku harass namna hiyo... Mi ningesusa siendi! Yani mnihitaji nyie halafu nataka kuja mnaniwekea uzibe?
  6. TANMO

    Ilikuchukua muda gani mpaka kuunganishiwa Umeme na Tanesco?

    Mwaka Jana nilituma maombi kwa Njia ya Niconect ilikuwa siku ya Jumatatu, siku hiyo hiyo akaja Surveyor.. Kesho yake siku ya Jumanne asubuhi nikatumiwa Control number nikalipia. Siku inayofuata yani Jumatano wakaja Mafundi wakaniwekea Umeme...
  7. TANMO

    Bei za maji katika Nyumba za kupanga ni mateso

    Mkuu suluhu pekee ya huu mgogoro wa nafsi ni kujenga nyumba yako ili uachane na huu uonevu..
  8. TANMO

    CLOUD SEEDING: Mafuriko yanayoikumba Saudi Arabia ni matokeo ya kujaribu kushindana na asili

    Umewaza mbali sana mkuu. Hii inaweza kutumika kama silaha ya Kibayolojia aisee!
  9. TANMO

    Mjini mipango: Wasanii wengi waliounda kundi la East coast wanaishi vizuri hadi sasa, kongole kwao kwa mikakati ya kimaendeleo

    GK si ilisemekana mibangi imemkolea almanusura kuwehuka hapa majuzi kati tu? Leo hii keshakuwa Lecturer ghafla hivi?
  10. TANMO

    Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

    Wacha wale Bata Mkuu.. Tutafanyeje sasa
Back
Top Bottom