Recent content by TANMO

  1. TANMO

    USA na mkakati kuidhoofisha nchi za Gulf kupitia Iran

    Huenda uko sahihi. Huenda pia Marekani kuimaliza hii Vita imekuwa tofauti na matarajio yake.. Nchi za Gulf hazikuwa zimeota mapembe kiasi Cha kuweza kuwa Tishio Kwa Marekani, ila Iran imekuwa Tishio Kwa Israel, na Huenda hii Vita Marekani ameiingia kwa shinikizo Kali kutoka Kwa Myahudi...
  2. TANMO

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Tupo naye humu. Huenda akatoa neno. Dkt. Gwajima D
  3. TANMO

    Toyota hiace inauzwa moshi

    Milioni 50, Hiace Namba D mbona ghali sana Arawa?
  4. TANMO

    Rais Samia: Tumuombe Mungu Marekani na Iran wazungumze misukosuko iishe, dunia irudi katika hali ya kawaida

    Mungu ni Mkuu na atatenda.. Pia tumuombe Mungu watu wote waliotekwa warejee salama, na Ikimpendeza Mungu atuondolee wale wote wanaoshiriki kuteka na kuua wakosoaji wa Serikali...
  5. TANMO

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Isitoshe N. Korea haina maslahi yeyote Kwa Marekani hata wakisema waivamie. Itakuwa ninkupoteza muda tu... Khemenei alikuwa kikwazo Cha Maslahi ya Marekani kule Mashariki ya Kati. Pia ufadhili wake Kwa makundi yanayoishambulia Israel mara Kwa mara kulilazimu Hawa Wababe wapambane kummaliza Kwa...
  6. TANMO

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Labda Korea Kaskazini, lakini Urusi na China siyo Washirika wa kuwaamini linapokuja suala la Kukusaidia kivita..
  7. TANMO

    Tume nayo inaogopa kumhoji Mafwele!?

    Hivi yupo wapi huyu Mafwele? Siku nyingi hajaonekana hadharani..
  8. TANMO

    Nini kinaendelea Silent Ocean? Mzigo tokea Oktoba 2025 haujafika

    Silent Ocean Ina ushirika na GSM?
  9. TANMO

    Mahakama Tanzania tunayo, hatunayo?

    When stupidity is considered patriotism, it is unsafe to be intelligent
  10. TANMO

    Rais Samia akisalimiana na rais wa Kossovo, Vjosa Osman-Sadriu

    Duh. Siku hizi ni mwendo wa Kosovo, Oman, Al Arabia na Mashariki ya Kati.. America na Ulaya tutakuwa tunapasikia tu kwenye Bomba.
  11. TANMO

    Baba Levo: Marufuku kwa watu wa Kigoma mjini kununua SANDA kuanzia Februari

    Kwanini Sanda na siyo kitu kingine?
  12. TANMO

    Makonda ni kama hamtaki Mwana FA pale Wizarani

    Kwenye ile Wizara wamepiga Pesa kutoka chanzo kipi Mkuu?
Back
Top Bottom