Huenda uko sahihi.
Huenda pia Marekani kuimaliza hii Vita imekuwa tofauti na matarajio yake..
Nchi za Gulf hazikuwa zimeota mapembe kiasi Cha kuweza kuwa Tishio Kwa Marekani, ila Iran imekuwa Tishio Kwa Israel, na Huenda hii Vita Marekani ameiingia kwa shinikizo Kali kutoka Kwa Myahudi...
Mungu ni Mkuu na atatenda..
Pia tumuombe Mungu watu wote waliotekwa warejee salama, na Ikimpendeza Mungu atuondolee wale wote wanaoshiriki kuteka na kuua wakosoaji wa Serikali...
Isitoshe N. Korea haina maslahi yeyote Kwa Marekani hata wakisema waivamie. Itakuwa ninkupoteza muda tu...
Khemenei alikuwa kikwazo Cha Maslahi ya Marekani kule Mashariki ya Kati. Pia ufadhili wake Kwa makundi yanayoishambulia Israel mara Kwa mara kulilazimu Hawa Wababe wapambane kummaliza Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.