Recent content by TANMO

  1. TANMO

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibamba kwa Mangi

    Hilo shimo ni Korongo ama Nini?
  2. TANMO

    JamiiForums Tanzania Ni tabia gani zimezoeleka hapa Bongo na Jamii haizikemei ila kiuhalisia ni Mwiba Mchungu?

    Ushabiki maandazi wa Mpira.. Jitu linaacha shughuli za msingi eti kisa Kuna Mechi linaenda kutazama... Au Liwaziri linasimama Bungeni badala liongee mambo ya msingi, linaanza kuzungumzia Usimba na Uyanga...
  3. TANMO

    JamiiForums Tanzania Tuweni makini na wake za watu, kuna mtu kaumizwa kisa kutembea na mke wa mtu

    Pole sana Mkuu.. Unaendeleaje Sasa hivi?
  4. TANMO

    JamiiForums Tanzania Alikuwa amejiandaa kunyanyua simu alipoona chawa kakataliwa live, akaenda zake kulala

    Ni suala la muda tu.. Maana tumefikia kwenye Point of no Return..
  5. TANMO

    JamiiForums Tanzania Alikuwa amejiandaa kunyanyua simu alipoona chawa kakataliwa live, akaenda zake kulala

    Mkuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani... Ni sawa na kusema tayari Petrol imeshasambaa kwenye nyasi Kavu ila hapajatokea Cheche za kusababisha Mlipuko...
  6. TANMO

    JamiiForums Tanzania Nifanyaje wakuu hali mbaya sana?

    Jiue kwanza tu Mkuu, wakati tunaendelea kutafakari Nini Cha kufanya..
  7. TANMO

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    Kiliwe ni tusi jipya. Mkuu?
  8. TANMO

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    Laiti ungelijua.. Mapendo, TANMO.
  9. TANMO

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    Huenda ni intake ya Miaka ya 1990 mkuu..
  10. TANMO

    JamiiForums Tanzania Gawio la Bilioni 61 za NIDA: Mteja wa Mwisho ni Wewe! Taarifa zako Binafsi zinapogeuzwa kitegauchumi na Serikali

    Polisi wetu nao wametoa gawio Tsh. Ngapi?
  11. TANMO

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu: Miaka 100 ya Bunge, tunajivunia kuisimamia Serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi

    Wanaisimamia Serikali ya Nchi gani hawa Wabunge wetu?
  12. TANMO

    JamiiForums Tanzania Rungwe: Mwalimu alikuwa anaingilia majukumu ya mwenyekiti, Halmashauri kuu imemtengua

    Kigaila na Mwalimu wote lao Moja...
  13. TANMO

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    CCM wakishamaliza kufanya Maridhiano na Chadema. Wawaombe Chadema wawe Mediator kwenye Maridhiano mengine baina yao CCM na sisi Wananchi..
  14. TANMO

    JamiiForums Tanzania Namlaumu sana John Heche maana ndo alituzalia huyu Katambi kwenye siasa,Wacha limpige bakora

    Huenda Katambi alikuwa Pandikizi la Serikali ndani ya Chadema.. Ole Sosopi alifaa kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA by then ila sijui nini kilitokea akashinda huyu licha ya kutokuwa na influence ndani na nje ya Chama.. Nakumbuka kipindi Lissu amepigwa Risasi, BAVICHA chini ya Mwenyekiti wake Katambi...
Back
Top Bottom