Recent content by Tangulia

  1. T

    CHADEMA yaanika unyama wa kundi la Green Guard ya CCM

    Akili ikitumika vizuri huleta faida, ikitumika vibaya ni hasara. Source ya yaliyomo katika uzi huu hata siku moja haitakuwa UHURU na Mzalendo. Kinachotakiwa hapa ni kuangalia ukweli wa yaliyomo na si suala kuwa Source ni Tanzania Daima au la. Hata hivyo Tanzania Daima wamemnukuu Mnyika, ambaye...
  2. T

    CHADEMA haikushinda imetetea viti

    Upuuzi! Timu itateteaje Ubingwa bila kushinda? Au ilipita bila mpinzani?
  3. T

    Dhambi ya uwongo ndio kaburi la CHADEMA

    Hivi mnawafanya watanzania kuwa ni wajinga na hawajui nani anasema kweli na nani anadanganya? Mbona mtoa mada kaandika kishabiki naye kaweka na uongo kibao? Mtoa hoja kama angekuwa mkweli angejikita zaidi katika hoja (facts) badala ya kutoa porojo na kuonyesha upendeleo wa wazi wa upande wake.
  4. T

    Chadema wapanga kuvuruga uchaguzi, red brigade kutumika!

    Chadema ninayoijua haina vitendo hivi. Chadema wavuruge uchaguzi ili ieweje? Hata katika Mpira anayevuga ni yule anayepoteza. CCM kuanzia 2005 hadi sasa graph inaonyesha inapoteza na Chadema wanaongeza japo si kwa kasi kubwa sana.Ni kwa njia ya uchaguzi Chadema inaendelea kuimega himaya ya CCM...
  5. T

    Polisi Dar wamvamia Mbowe usiku wa manane

    Kwa akili ndogo na ushabiki usiokuwa na maana kila habari initwa udaku!
  6. T

    Watu wengi wanaoipigania CHADEMA ni wale wavivu wasiopenda kufanya kazi-Malibwa(udsm)

    Mawazo ya 'msomi' huyo ni ya 'kiconservative'.Kwa mtu mwenye mawazo 'progressive' angekiri usemi kuwa safari ya maili 1000 huanza na hatua moja. Yeye anataka mbaki palepale!
  7. T

    Kwa tabia hii ya uongo na uzandiki Mbowe hafai kuendelea kuwa kiongozi wa chama cha siasa

    Mfalme yuko Uchi. Wewe unamwangalia, anakutazama kwa hasira, anakuita na kukuuliza huku kakukanja shati. "Unanionaje?" Utajibuje?
  8. T

    Dhihaka ya CHADEMA kwa jeshi la police

    Hivi ukitawala watu wenye njaa, ujinga, umasikini, maradhi, rushwa, ufisadi, utapeli, ubadhilifu, vilio, .... n.k. utasema kuwa watu hawa wantawalika?
  9. T

    Dr slaa, kama kwenye ngazi ya chama tu umepotelea ulaya, itakuwaje ukiipata ikulu?

    Hoja nyepesi zinakaa kama counter attack zisizo na madhara. Hata kuzisoma na kuzijibu zinadumaza akili.
  10. T

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Hivi hiki chama hakina watu wenye busara hadi kumwachia nape atoe kauli hizi zinazokidhalilisha chama chake? Anadai Serikali ichunguze ili wahusika wapatikane haraka wakati ameshasema wahusika ni Chadema! Aidha anasema wanaarusha walishaamua kurudisha kata kwa CCM, waliamua lini wakati...
  11. T

    Huu ndiyo ukweli kuhusu mabomu

    Maelezo ya Nape yanaonyesha kujihami zaidi kuliko busara. Anasasema Chadema wamepanga na kulipua bomu ili kuvuruga uchaguzi baada ya kuona wamezidiwa. Ana ushahidi gani juu ya hilo? Umati uliokuwepo Soweto hauwezi kumshawishi mtu yeyote kuwa CDM walizidiwa bali kinyume chake. Kimantiki...
  12. T

    Wapi intellijensia ya Dr Slaa?

    Hamy D ulitupa bomu ili kujaribu intelijensia ya Dr.? Polisi ifanyieni kazi kauli ya huyu jamaa.
  13. T

    Wapi intellijensia ya Dr Slaa?

    Hamy D ulitupa bomu ili kujaribu inteligensia ya DR? Polisi waifanyie kazi kauli yako.
  14. T

    MACHALI: CCM na CHADEMA vifutwe

    CCM ni wazi watafurahi iwapo CHADEMA kitafutwa. Lakini kwa tukio la Bomu utasema makanisa yafutwe? Ni mwenye mawazo finyu tu anaweza kutoa hoja ya kufutwa CCM na Chadema kuwa ni suluhisho la yanayotokea Tanzania.
  15. T

    Kwa hili polisi Arusha mnatutia mashaka

    Pale kanisani hawakutumia mabomu wala risasi. Je baada ya tukio la kanisani wamejifunza kuwa kunapokuwa na tukio kama hilo watumie mabomu ya machozi? Inashangaza, inahuzunisha, inatia wasiwasi.
Back
Top Bottom