Dhambi ya uwongo ndio kaburi la CHADEMA

Dhambi ya uwongo ndio kaburi la CHADEMA

Kuna Waziri wa kike....alishasema wachaga waiache Arusha yao...tena bungeni!
Kabla ya kumlaumu mwandishi huyu kwa habari ya ukweli....mfuate huyo mama sijui ni Mary Nagu muulize anawagawa watanzania (wachaga v waarusha) au anawaunganisha....then uje na hoja mpya hapa jukwaani...
Naomba utupe walau mambo matatu muhimu yaliyoongelewa au hawakuzungumzia jambo lolote????
Kwa kawaida msema kweli huitwa "an enemy of the people".
 
Mnafiki ni mnafiki mtu!... Mtu mwenye husda utamwona tu... Mtu mwenye kijicho anaonekana tu!... Hapa ni kazi moja ID nyingi watendaji walewale... kujichanganya kila wakati... kubadilishana kila wakati.. Mchana kutwa , Usiku kucha ni kukesha mitandaoni tu kutetea vitu visivyo na tija
cc Mohamed mtoi
Mwita Maranya
Molemo
Mungi
Aweda

Tulieni dawa iingie vizuri, mkibanwa mnaanza kushambulia watu badala ya hoja. Wafu
 
"Huo ni uzushi kama ule wa jana katika jamii forum na leo katika gazeti la udaku la Mtanzania Daima." kwa hiyo kama Jamiiforums ni wazushi, basi hata wewe ni mzushi. Mbona uko hapa jamvini? Hebu nikuulize. Ina maana hata haya uliyoandika hapa Jamiiforums ni ya kizushi? Kama lililoandikwa jana hapa ni la kizushi, kwanini niamini hili la kwako uliloandika sasa? Kwanini nisikubali tu kwamba yote ni ya kizushi kwa sababu yote ni ya Jamiiforums? Kwa ufupi HUNA HOJA. Mahali pengine umeandika: "Inaelekea wewe hujui technology inavyofanya kazi, hivi picha za kivita unazozionaga unadhani zote ni za kweli?" kwa hiyo na ile video mliyodai kuwa ni ya Lwakatare akipanga mauaji ni ya uongo? Si nyie mlisema ni ya kweli? Wekeni tofauti ya wazi hapa tuione. Msituletee mambo ya giza hapa.
 
Hivi cdm hakuna mtu wa PR? maana issue kama hii si ya mtu kusimama jukwaani na kuanza zile t"ough talking" zao. zinahitaji mtu sober anyeweza ku-articulate issues! sababu at times diplomacy inahitajika and the only diplomat aliyekuwa cdm ni la late RM (RIP), otherwise hii strategy wanayo tumia is a political suicide! that is why watu wengine tunajiuliza are they real serious kuchukua dola au they just want to play a watch dog role! yetu macho na masikio.
 
"Huo ni uzushi kama ule wa jana katika jamii forum na leo katika gazeti la udaku la Mtanzania Daima." kwa hiyo kama Jamiiforums ni wazushi, basi hata wewe ni mzushi. Mbona uko hapa jamvini? Hebu nikuulize. Ina maana hata haya uliyoandika hapa Jamiiforums ni ya kizushi? Kama lililoandikwa jana hapa ni la kizushi, kwanini niamini hili la kwako uliloandika sasa? Kwanini nisikubali tu kwamba yote ni ya kizushi kwa sababu yote ni ya Jamiiforums? Kwa ufupi HUNA HOJA. Mahali pengine umeandika: "Inaelekea wewe hujui technology inavyofanya kazi, hivi picha za kivita unazozionaga unadhani zote ni za kweli?" kwa hiyo na ile video mliyodai kuwa ni ya Lwakatare akipanga mauaji ni ya uongo? Si nyie mlisema ni ya kweli? Wekeni tofauti ya wazi hapa tuione. Msituletee mambo ya giza hapa.

Acha jazba, halafu wakati mwingine usipende kuandika kama huwezi kuchambua mambo. Siko hapa kufundisha ila ngoja nikusaidie maana huenda hujui "Huo ni uzushi kama ule wa jana katika jamii forum" inazungumzia thread moja tena ya jana na sio kila uzi tangu jamiiforums ilipoanzishwa. Ni tofauti na ulivesema hivi. Kwanza ngoja ninukuu isijesomeka kwamba nami ni shallow analizer kama wewe. Naanza kunukuu " Kwa hiyo jamii forums ni wazushi," mwisho wa kunukuu maana sitaki kupoteza muda na poor analizer kwani nikendelea huenda ukaikimbia jamiiforums kwa jinsi utakavyogundua kwamba uko mweupe peeeeeeeeeeeeeeee kichwani mwako!
 
Acha jazba, halafu wakati mwingine usipende kuandika kama huwezi kuchambua mambo. Siko hapa kufundisha ila ngoja nikusaidie maana huenda hujui "Huo ni uzushi kama ule wa jana katika jamii forum" inazungumzia thread moja tena ya jana na sio kila uzi tangu jamiiforums ilipoanzishwa. Ni tofauti na ulivesema hivi. Kwanza ngoja ninukuu isijesomeka kwamba nami ni shallow analizer kama wewe. Naanza kunukuu " Kwa hiyo jamii forums ni wazushi," mwisho wa kunukuu maana sitaki kupoteza muda na poor analizer kwani nikendelea huenda ukaikimbia jamiiforums kwa jinsi utakavyogundua kwamba uko mweupe peeeeeeeeeeeeeeee kichwani mwako!

Sijaona analysis yako. Prove that I'm shallow. Don't beat arround the bush. I've put my point through. What's yours. Uliandika kuwa technolojia inaweza kubadili sinema za uongo zikaonekana za kweli. Nikakuuliza ile ya Mliyosema Lwakatare alikuwa akipanga ugaidi ni yankweli. The answer is either YES or NO. That's all.
 
Tanzania Daima ni gazeti la udaku.
lazima ulione la udaku sababu linaandika yale usiyo yataka wewe lakini yanatakiwa na asilimia kubwa ya watanzania.we soma uhuru ni saizi yako sababu linaandika unayo yataka wewe.
 
Watu mna nondo hadi raha..yaani kuitetea CCM unajiandalia pressure isiyo na sababu.
Huyu Ole Medeye anasemaje eti...Unataka Arusha isimame!! Chezea kina Mangi wewe?
Unajaribu kuukata mti ulioukalia sio?
 
umenena vizur sioni sabab ya msingi ya nyie kutaka kujua kilichojiri kwnye mkutatano na kuhoji eti why now?
 
Hayo Maujinga yameandikwa kwenye gazeti gani?
Aaaahhh Kumbe Tanzania Daima? mbona hilo huwa sisomi siku nyingi tu.
 
Rationalizer inaonekana wewe ni naibu waziri anaye ongelewa kwani habari hii imekutachi mpaka kwenye ini. Pole brother hiyo ndo faida ya kueneza sumu ya ukabila pindi ukinaswa unaandika bonge la Uhuru + Mzalendo.
Sisi hapa JF hatubabaishwi na watu wahovyo kama wewe.
Jaribu tena siku nyingine,au kamwambie bosi wako umeachwa uchi wa mnyama
 
Ole Medeye; atangaza vita na wachaga asema watapigana kwa silaha zote kuwagoa Arusha - YouTube
Ole Medeye; atangaza vita na wachaga asema watapigana kwa silaha zote kuwagoa Arusha - YouTube acha kutokwa na povuuu huyo mwandishii kwa kiasi kikubwa anaaminika kwa sababu alitoa na ushahidi wa picha ya video. Sasa kama wewe ulikuwepo tutafsirie hii video yenye linki hapo juu na utuambia mlikuwa mnazunguzia nini mlipokuwa mnawataja wachaga moshi kwenye kikao chenu cha malaigwanani..

Mbona video ya lwakatare mliikataa au haukuwa you tube??
 
Hivi mnawafanya watanzania kuwa ni wajinga na hawajui nani anasema kweli na nani anadanganya? Mbona mtoa mada kaandika kishabiki naye kaweka na uongo kibao? Mtoa hoja kama angekuwa mkweli angejikita zaidi katika hoja (facts) badala ya kutoa porojo na kuonyesha upendeleo wa wazi wa upande wake.
 
lakini kama ushahidi wa video upo ya nn tupoteze muda kujadili fikra oevu kama hizi.
 
Back
Top Bottom