CHADEMA haikushinda imetetea viti

CHADEMA haikushinda imetetea viti

chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimetakiwa kujitathimi na kuacha kuendelea kupiga mayowe kwa kile wanachokisema kuwa ni ushindi wa kata nne katika uchaguzi mdogo uliofanyika Arusha, wanaharakati mbalimbali wamekisihi chama hicho kuacha kushangilia kwani hakuna chama kingine (ccm, TLP, CUF) kilichopoteza bali kinachoonekana ni chadema kutetea viti vyake vinne.


Aaaa!Kumbe hata dhaifu hakushinda 2010,alitetea tu kiti chake eee!
 
chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimetakiwa kujitathimi na kuacha kuendelea kupiga mayowe kwa kile wanachokisema kuwa ni ushindi wa kata nne katika uchaguzi mdogo uliofanyika Arusha, wanaharakati mbalimbali wamekisihi chama hicho kuacha kushangilia kwani hakuna chama kingine (ccm, TLP, CUF) kilichopoteza bali kinachoonekana ni chadema kutetea viti vyake vinne.

Mkuu kwa hiyo hata zile kata 22 Chama Chenu hakija shinda kilitetea? Au kilishindwa kwa kuwa kuna kata zilichukuliwa na upinzani.
 
Ni kweli mkuu waliyoshinda ni CCM.CHADEMA WAMETETEA KATA ZAO.
 
sizitaki MBICHi HIZI, kama wale wakongwe wenzangu mtakumbuka hii famous story about Sungura na Ndizi mbivu alizoshindwa kuzifikia ndani ya kile kitabu chetu maarufu cha TUJIFUNZE LUGHA YETU.
 
chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimetakiwa kujitathimi na kuacha kuendelea kupiga mayowe kwa kile wanachokisema kuwa ni ushindi wa kata nne katika uchaguzi mdogo uliofanyika Arusha, wanaharakati mbalimbali wamekisihi chama hicho kuacha kushangilia kwani hakuna chama kingine (ccm, TLP, CUF) kilichopoteza bali kinachoonekana ni chadema kutetea viti vyake vinne.

ccm hamkosi sababu kama asernal vile wakifungwa utasikia oh!wachezaji wetu wadogo sasa kama mlijua chadema ndiyo wenye hizo kata kwanini mlisimamisha wagombea?
 
kwa hiyo CCM haikushindana kwenye huo uchaguzi...ilikuwepo CDM peke yake...sio..?

kura hazikutosha jamaa walikaba kila mahali wakashindwa kuchomekea mpaka othman kazi anapuliza kipenga wao nunge vijana wa mchini 4. Kiufupi joker limewafia mkononi
 
chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimetakiwa kujitathimi na kuacha kuendelea kupiga mayowe kwa kile wanachokisema kuwa ni ushindi wa kata nne katika uchaguzi mdogo uliofanyika Arusha, wanaharakati mbalimbali wamekisihi chama hicho kuacha kushangilia kwani hakuna chama kingine (ccm, TLP, CUF) kilichopoteza bali kinachoonekana ni chadema kutetea viti vyake vinne.

Kwa hiyo vyama vingine vilikuwa vinawasindikiza Chadema kurudisha kata zao? Kama hapakuwa na ushindani why would Savimbi use Musa to solicit votes? ----!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kura hazikutosha jamaa walikaba kila mahali wakashindwa kuchomekea mpaka othman kazi anapuliza kipenga wao nunge vijana wa mchini 4. Kiufupi joker limewafia mkononi
.........jamaa wamechanganyikiwa kama barca na beyern ...uefa iliyopita...
 
chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimetakiwa kujitathimi na kuacha kuendelea kupiga mayowe kwa kile wanachokisema kuwa ni ushindi wa kata nne katika uchaguzi mdogo uliofanyika Arusha, wanaharakati mbalimbali wamekisihi chama hicho kuacha kushangilia kwani hakuna chama kingine (ccm, TLP, CUF) kilichopoteza bali kinachoonekana ni chadema kutetea viti vyake vinne.

Dr Isack Ndodi anakusubiri akutibu, una mapepo mengi sana!
 
Ushindi ni ushindi haijalishi uwanja ni wa nyumbani au ugenini........tunajua mnajipa moyo ila ukweli utabaki palepale CCM imefanywa kitu mbaya,pamoja na rafu,hujuma lkn hamkupata hata kata moja?lazima iume......ila Nape keshawaambia mkubali mumushindwa.
 
Back
Top Bottom