Recent content by Tanganian

  1. Tanganian

    Kweli maisha ni mapambano

    Mfumo wa maisha ya sasa na mambo ya uchumi ni mambo hayana uhalisia ..Ukipiga hesabu biashara za halali bila dhuluma, utapeli ,wizi sio rahisi kuendelea ..Hata nchi kubwa zote zinafanya dhuluma kwa wadogo kwa kiasi fulani. So ukipata nafasi itumie kikubwa upate chochote ,ndio maana kuna mpaka...
  2. Tanganian

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Hao jamaa wana shobo sana ..Mwaka huu wameanza kulaumu mufti 😅😅Sasa hawa wana inferiority complex kabisa. Hizo sikukuu zao wala hazina hamasa ,yaani hapo Dar tu utaona kama hamna kitu..Ila juzi hapa Dar kulijaza mpaka watu walizimia baadhi .
  3. Tanganian

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Tatizo nyie wambea ,mnafuatulia mambo ya waislamu kuliko yenu..Naona wakristo mnamshambulia mpaka mufti kuhusu kwezi mwandamo😅😅..Sisi zenu ni Sheria na tena ni universal nyie wivu tu.
  4. Tanganian

    Kupitia post ya Phares Magesa itoshe kusema ni risk kubwa kumsomesha au kumwezesha mwanamke kiuchumi

    Umeishi naye zaidi ya miaka 20 kama hizo pesa kumsomesha zimesharudi..Umeshamzalisha watoto watatu .
  5. Tanganian

    Kwanini 'Wachapakazi Hodari' wanaishia kuwa punda wa ofisi, Huku 'Wambea' Wakipanda Vyeo?

    Siasa za ofisi zinamaliza kitu ,ukifika baadhi ya ofisi hata wale wachapakazi wameshachoka na kuanza kuishi kama vilaza. Yaani unashangaa yule mtu mvivu anapelekwa sehemu nzuri yenye maslahi ,hawa wapambanaji kama wanatengwa
  6. Tanganian

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    Miaka saba kwa rate ya 17% means interest yake ni 119% ..Utarudisha 21,900,000/= bado kuna chaji nyingine na hiyo mil 10 utapata Pungufu ; watakula processing fees na insurance ya mkopo kitu kama hicho. All in all jiandae kurudisha milion 22 ila kwa rate ya interest 17% kwa mwaka kama zaidi ya...
  7. Tanganian

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    Wakati wenzio wanasoma kuhusu compound interest wewe ulijifanya mjuaji...kama riba ni 17% ina maana ni mwaka mmoja ,ila the more years of repaying the higher interest you face.
  8. Tanganian

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Tazara na TRC zote njaa ...Hizo nimeshindwa kuziweka kabisa kwa sababu kama Tamisemi tu..Wazee hawatki kustaafu ..Nimetaja zenye angalau posho
  9. Tanganian

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Kwa Taasisi ni hizi ; Taasisi chini ya wizara ya fedha (Hapa ni kuanzia BOT na baadhi zile za ukaguzi hasa ofisi ya CAG japo mishahara kawaida. kuna watu wanakula rushwa kama TRA na ofisi ya ukaguzi. Taasisi chini ya wizara ya Madini na nishati - Kwenye hii kama wote wanakula pesa mpaka kuna...
  10. Tanganian

    USA na mkakati kuidhoofisha nchi za Gulf kupitia Iran

    Hna silaha mpya kamaliza hapo ,imebaki nuclear ..Acha uongo😅😅zile ndege zake B-2 zinaparaza tu tangu mwaka jana ,zimeshindwa hizo blockbuster ni kiande labda kupiga kwenye majengo. Kwa taarifa yako ,sasa kuna ndege mpya wameforce itengenezwe fasta ...zile B-2 zimeshindwa zaidi ya kuweka vumbi...
  11. Tanganian

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Kanisa wanahusika kwa asilimia 90 kama unabisha rudi shule kwanza .Nawachukia sana hao ,walitaka kufanya mapinduzi kwa kushawishi watu... wameshindwa wanaandika taarabu.
  12. Tanganian

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Shoga unalia nn 😅😅mmeuliwa mbona hajaandamana tena ? Wajinga wanekimbia nchi ...Nyie vibonde na TEC yenu ...Mtu ana tumbo kubwa kama mke hana analitoa wapi hata kukimbia hawezi ..Eti anachochea maandamano.. Dhambi zenu zimepelekea mkafa vibaya.
  13. Tanganian

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Bibi katumwa na kanisa ,zile ramli za wachungaji wake kwamba Gwajima atakuwa Rais anaona zimeeenda hovyo...Kabaki anapiga domo na kuambiwa cha kusema
Back
Top Bottom