Recent content by tamuuuuu

  1. tamuuuuu

    Siku ya Wanawake Duniani: Taja wanawake 3 unaowasherehekea leo hapa jukwaani

    Aaah weee hapana kabisa. Mama yangu mimi mkuu. Huyo ni mama wa Abdul watajuana wenyewe huko.
  2. tamuuuuu

    JamiiForums Usiku wa manane

    0525
  3. tamuuuuu

    Tunauza subwoofers, soundbars, home theater, speakers kwa bei nafuu

    Mziki wake ni mzuri umechujika?
  4. tamuuuuu

    Tunauza subwoofers, soundbars, home theater, speakers kwa bei nafuu

    Bei ya mwisho ya hii ngp boss?ina Bluetooth? Ina sehemu ya two in one kama ukitaka unganisha na TV?
  5. tamuuuuu

    Msaada wa Mabasi ya Mbeya to Tabora

    Magari yapo. Talking from experience ya miaka 11 iliyopita, nimesafiri sana sana Mbeya-Tabora kwa njia ya Chunya,Manyoni,Sikonge then Tabora mjini na barabara ilikuwa changalawe kwa sehemu kubwa. Ni safari ngumu ila siku 1 tu mnafika jioni.Ila kwa sasa nadhani ni rahisi kwasababu lami imefika...
  6. tamuuuuu

    Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Mimi ni mmoja ya hao watu.Nitabaki hukuhuku Nanjilinji
  7. tamuuuuu

    TAMISEMI kuna haya mambo mnafumbia macho kwenye elimu ila serikali inadhalilika, toeni tamko

    Halafu kuna huo ujinga wa kuchota tu watoto wote kwenda kidato cha kwanza.Ni vituko, mzigo ma adhabu kwa watoto walio wengi kwani hawajui hata kuandika majina yao wala kuumba herufi.Wanahangaika sana huko,wakati ingefanyika namna watoto wazito wasingepelekwa huko bali wafanyiwe utaratibu...
  8. tamuuuuu

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Dada aaaah aaah! Pole sana.Natamani niongee na wewe kwa muda mrefu.
Back
Top Bottom