Magari yapo.
Talking from experience ya miaka 11 iliyopita, nimesafiri sana sana Mbeya-Tabora kwa njia ya Chunya,Manyoni,Sikonge then Tabora mjini na barabara ilikuwa changalawe kwa sehemu kubwa.
Ni safari ngumu ila siku 1 tu mnafika jioni.Ila kwa sasa nadhani ni rahisi kwasababu lami imefika...
Halafu kuna huo ujinga wa kuchota tu watoto wote kwenda kidato cha kwanza.Ni vituko, mzigo ma adhabu kwa watoto walio wengi kwani hawajui hata kuandika majina yao wala kuumba herufi.Wanahangaika sana huko,wakati ingefanyika namna watoto wazito wasingepelekwa huko bali wafanyiwe utaratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.