Hilo wala haliitaji tafiti Mr Nyenyere kwani ukweli ndio huo. Wengi humu watabisha kwa kuja na mifano ya wachache waliolelewa na mzazi mmoja ila wengi wao wamepotezwa au wameharibika. Wazazi wawili maana yake ni mizani yenye kumfanya kijana kuelewa mambo mengi ya pande zote yaani ubabani na...
jangala .. Afadhali leo umeiongelea ndoa kama taasisi yenye raha pia. Vijana wengi hawapewi kabisa upande huu hata kama imetokea ndoa ikavunjika ila lazima tukubali ndoa ndio chanzo cha familia bora na maadili kwa vijana. Hainisumbui sana kujua tabia za kijana nikishaitazama jamii aliyotoka hasa...
Kuna wanawake ambao wana ndoa za mizimu hivyo ktk ulimwengu wetu hawaruhusiwi kuolewa. Nilishawahi kusimuliwana na mhusika kabisa japo alirest in peace ila alinifungua mengi sana ya huko ulimwengu mwingine. Hivyo ukilazimisha saaana anaweza kukubali ila utajuta hadi siku una RIP.
Ila nahisi ulipobugi ni pale ulipoendelea kumtegemea kwa bills kama za umeme, DSTV, et al huku yeye aliamini kwa kukupa biashara taratibu utamwacha huru na kujitegemea. Mwanamke mjanja lazima ujitaidi kumpunguzia mwanaume stress za matumizi yako au ya familia. Uwe makini kwenye new relationship..
Sidhani kama kuna ukweli wowote. Nafsi za wanadamu hazijawahi fanana hata kama ni jinsia moja. Kila nafsi inaishi na kitabu chake hadi inapoondoka duniani. Usitumie fikra ndogo kupambanua mambo makubwa, zaidi utazeesha ubongo.
Ulishaoa au bado uchumba kiongozi. Na kwa nini bado unaongelea uchumba wakati mipango ilikuwa 2018? Je umemsitiri na umefuata nasaha za Mungu muumba kwamba ngono hadi baada ya ndoa?? Au kuna utofauti??
Maneno mazuri sana kwa vijana ila ungeongezea na..
11. Usioe kukidhi tamanio la umbo (chura, wembamba, urefu, ufupi, weupe, weusi) iko siku vyote havitaongeza thamani zaidi ya upendo wa dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.