Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,483
- 5,797
Mimi ni Mtanzania chotara wa Kinyakyusa na Kisukuma ila nimetokea kumpenda binti wa Kikaguru na ningependa kujua kwa ndani mila, tamaduni na desturi zao ikiwemo namna wananvyo mama mjamzito, mama mzazi na malezi ya watoto, nafasi ya mqanaume katika jamii, mapishi na vyakula, shughuli zao za uchumi, matambiko, mazishi, ndoa na mahari nk
Asanteni sana wadau.
Asanteni sana wadau.