Recent content by TALLMAN12

  1. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mhhhh yaani inapokuja genye hata uweje madam unaweza mpa hata mwendawazimu. lkn msela kasema yupo smart in everything
  2. T

    Machizi wote wana maumbile ya kiume makubwa

    Wewe mama tema mate chini wewe........ kwa hiyo wasomi wanaowazidi wanaosoma UDSM ni wepi? Wale wanaotoka KIU kila anaehitimu kapata GPA ya chini 3.9? (Mtanisamehe kwa kutaja jina la hiki chuo bali nakitumia kama sample ya vyuo vingi private vya kibiashara zaidi). UDSM usiipimie wewe labda...
  3. T

    Mwanamke hutongozwa taratibu

    Duuuuu kweli wanaume tunatofautiana sana. Waiting for such long what eventually is he reaping from that pussy? Na ukute kuna livuta bangi tu ndo lilikuwa likimchakaza mbele na nyuma halafu mtu unajiita mwanaume umekaa tu kiboya kusubiria zile za fisi mkono wa mwanadamu unadondoka sasa...
  4. T

    Ni kwanini wanawake wa Dar hawapendi kuvaa nguo ya ndani?

    Kwani ni lazima jamani kumchokoza Joanah?
  5. T

    Nakupenda ila please naomba unipe muda

    Kama hujui kusoma hata picha huioni?
  6. T

    Hivi kwanini baadhi ya wanaume hampendi kufua boxer zenu?

    Duuuuuu wewe dada kwa waume za watu kwa kiwango hicho unatafuta nini? Au ndiyo ule usemi wa wahenga..... sikio la kufa?
  7. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    upi huo uzi?
  8. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Subiri siku wanazengo wamuanzishie atakusahau kabisa
  9. T

    Jipende wewe, mpende mama na baba yako, penda ndugu zako hao wengine wakupita tu

    Mkuu hili fundisho unalotuletea unataka kumaanisha sisi wanaume tuwapende mama zetu, baba zetu, dada zetu na kaka zetu tuliozaliwa nao au sivyo? Naomba uweke sawa ili watu wote wakuelewe..... hatupaswi kuwapenda kina nani hao tuliokutana nao njiani? Unaweza kuchelewa kunijibu nahisi utakuwa...
  10. T

    Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

    Kuna vitu vingi sana vya kufanya na kujitia moyo heti umerudisha mpira kwa kipa siku utatoka kimaisha ni uboya. Tafuta shughuli yoyote ufanye hata kuuza matunda.
  11. T

    Dar: Jeshi la Polisi lamuhoji Josephat Gwajima kwa tuhuma za kuhamasisha watu kuunda kikundi cha kikabila

    Zakaria Lang'o, Umeandika kwa chuki zaid bila kuruhusu uhuru wako wa kupambanua mambo!
  12. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Depal, Wadada wenzako kuna wanaume wanawavizia wawale kimasihara
  13. T

    Mke akikuambia mbona mme wangu hujisugui vizuri ukienda kuoga?

    Hebu dadavua kidogo nikuelewe..........
Back
Top Bottom