Wewe mama tema mate chini wewe........ kwa hiyo wasomi wanaowazidi wanaosoma UDSM ni wepi? Wale wanaotoka KIU kila anaehitimu kapata GPA ya chini 3.9? (Mtanisamehe kwa kutaja jina la hiki chuo bali nakitumia kama sample ya vyuo vingi private vya kibiashara zaidi). UDSM usiipimie wewe labda...
Duuuuu kweli wanaume tunatofautiana sana. Waiting for such long what eventually is he reaping from that pussy? Na ukute kuna livuta bangi tu ndo lilikuwa likimchakaza mbele na nyuma halafu mtu unajiita mwanaume umekaa tu kiboya kusubiria zile za fisi mkono wa mwanadamu unadondoka sasa...
Mkuu hili fundisho unalotuletea unataka kumaanisha sisi wanaume tuwapende mama zetu, baba zetu, dada zetu na kaka zetu tuliozaliwa nao au sivyo? Naomba uweke sawa ili watu wote wakuelewe..... hatupaswi kuwapenda kina nani hao tuliokutana nao njiani?
Unaweza kuchelewa kunijibu nahisi utakuwa...
Kuna vitu vingi sana vya kufanya na kujitia moyo heti umerudisha mpira kwa kipa siku utatoka kimaisha ni uboya. Tafuta shughuli yoyote ufanye hata kuuza matunda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.