Recent content by tall gal

  1. tall gal

    Mashairi ya oh baby (kuchi kuchi) by jodie

    Kobun baba...mie hata sina neno.....Nakazimia lakin ka'song
  2. tall gal

    Naombeni ushauri tafadhali!

    Shogaaa kusoma hujui, na picha pia huoni?......zinduka mwana kwetu
  3. tall gal

    Tabia za wanaume zinawakwaza wanawake na kuwa kikwazo cha kukubali kuolewa nao!

    Hivi umewahi fikiria may be O.b.a.m.a ana baadhi ya tabia hizo.......ka'maza ka'dunia kanaweza mtema kweli?
  4. tall gal

    Dr. Lwaitama hana kosa na yuko sahihi kuomba mawasiliano kwa lugha ya Kiswahili

    Wadau mie niliisoma hiyo stori kwenye gazeti la THE CITIZEN...Story imeandikwa na Dr Lwaitama mwenyewe....hilo sakata halijamkuta yeye ila ni abiria mwingine (mzee) ambae walikua nae ktk ndege hiyo ambayo hakuitaja jina.....na anasema mzee huyo alionekana kama ndo 1st time anatumia aina hiyo ya...
  5. tall gal

    Jiji la Dar ndio linaongoza kwa kuwa na wanawake wengi wenye vitambi

    Kama wataka kitambi kiishe kwa mkeo, haina haja ya kuhama dar we acha buku moja ya matumiz kwa cku ili matembele na majani ya maboga ndo iwe mboga kuu humo ndani
  6. tall gal

    Tanzia: JF tumempoteza Member mwenzetu K007

    Raha ya milele umpe ee Bwana....pumzka kwa aman Kenny
  7. tall gal

    Yadhihirika: Nyama choma inasababisha kansa

    Ukichunguza zaid utagundua haohao ndo wanaongoza mahudhurio ya BBQ party
  8. tall gal

    Ujumbe wa leo

    Dah!...bonge la ujumbe.....kip it up
  9. tall gal

    Leo ni birthday ya Kiranga, tujumuike

    Happy kuzaliwa day Kiranga
  10. tall gal

    Mavazi katika ofisi za Umma: Utumishi watoa mwongozo

    Kwani mavazi ndo kazi?.....mbona wenzetu wanapga vimini, jeans na kazi zinaenda kama kawa? Mnawazuia kuvaa afu mkienda dodoma mnavutiwa na hao hao pale udom
  11. tall gal

    Nshakutana na watu wenye roho mbaya lakini sio kama hawa

    Duh huu sio ubinaadamu hata kidogo.....kuna watu wanaona bora wamwage chakula kuliko kumsaidia mwenye njaa, Hao wamemtapisha but kuna wengine wanamwaga chakula mbele ya asienacho.......mi cjui roho hii ngumu inatoka wapi jaman, hata kama ni uchoyo hiyo too much...
  12. tall gal

    Happy Birthday Doctor @Asprin

    Happy b'day athipirin........MUNGU akusaidie kuponya hata wenye diabets
  13. tall gal

    Wababa mupooooo?

    loool......wanawake na maendeleo
  14. tall gal

    wapi tunakwenda hii ni hatri!

    Sio lazma ukafundishe.....waweza kuwa mpishi wa shule
  15. tall gal

    Natamani kuachana na wife

    Madaktari wamefanya yao......mpe nafasi MUNGU pia afanye yake, shirikisha ndugu wa karibu mfunge kwa maombi, pia mpeleke kanisan...., trust mi..MUNGU hashindwi na kitu chochote
Back
Top Bottom