Recent content by Talha

  1. Talha

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:43
  2. Talha

    A talented guy from Kigoma

    Nilikua naangalia Tbc aridhio kuna kijana jina limenitoka kutoka kigoma amenivutia mno kwa vitu anavyovifanya pamoja na mazingira anayoishi ikiwa ni pamoja na nyumba haina umeme lakini ameweza kufanya mambo mazuri cha kwanza ni ameweza kutengeneza mtambo wa kurusha matangazo/radio channel yake...
  3. Talha

    Usiporipoti kituo cha kazi, unaweza kuomba tena ajira hiyo hiyo?

    Ukiomba nani tena atakupa wakati mwanzo hukwenda
  4. Talha

    Waziri Mkenda na RC Kagera, kwanini watoto wanarudishwa majumbani kwa mzazi kushindwa kulipa mchango? Je, elimu bure ni kuhadaa wananchi?

    Shule gani michango ni 500 au 1000?? michango ni mingi inaweza fika adi laki moja na zaidi kwa mtu anaeingia kidato cha tano sasa usifikiri vipato vinafanana, na hoja ya msingi basi mwanafunzi asirudishwe atleast apewe muda wa kulipa
  5. Talha

    Serikali tunaomba mtufungulie ile barabara ya Feri kuelekea Ocean Road Hospital

    Tz hamna technology ya kulinda White House?
  6. Talha

    Serikali tunaomba mtufungulie ile barabara ya Feri kuelekea Ocean Road Hospital

    Ulikua unoko Tu, watu tunataka shortcut tunapigwa azwea kama sio watz vile.
  7. Talha

    Waziri Mkenda na RC Kagera, kwanini watoto wanarudishwa majumbani kwa mzazi kushindwa kulipa mchango? Je, elimu bure ni kuhadaa wananchi?

    Kuhusu michango ipo pale pale tena unakuta michango ni mingi, kwakweli wajaribu kuangalia ili swala na pia mzazi apewe muda wa kulipa taratibu kama michango itashindwa kuondolewa au kupunguzwa.
  8. Talha

    Usaili Utumishi kufanyika kila mkoa

    Unajua ile ni mojawapo ya conditions walioiweka lazima uattach certified transcript kama ya diploma,degree,postigraduate n.k,sasa kama hujaiattach usipoitwa usije ukacomplain but ikitokea umeitwa kwnye interview kule napo wanakagua sasa sjui utajitetea vp labda mkaguzi akuonee huruma useme...
  9. Talha

    Usaili Utumishi kufanyika kila mkoa

    Mbn swali lako unaliuliza sana hujapewa majibu kwan?
  10. Talha

    Wizara ya Afya na ninyi toeni hiyo PDF, najua mumenipiga kibuti kama TAMISEMI

    Pole sana mkuu kila jambo lina kusudi ndani yake.
  11. Talha

    Inshu ya Tupac inaweza kuwa nzito kuliko tunavyofikiria, ushahidi huu hapa

    I was asking myself why even the way he dressed is like he is living today, sasa kumbe kuna watu wanaedit why watu wanaangaika kuedit pics za Tupac ni kwamba hawaamini kwamba jamaa amekufa au[emoji28]
Back
Top Bottom