Mkuu, kanisa halijawashikilia kuwa hawawezi kuuacha utume ili waoe. Wakitaka kuoa wanaruhusiwa ila kwanza wavue kanzu wawe waamini. Katika kadirio la wakatoliki bilioni moja point mbili, kuna mamilioni wanaume ambao wameoa na bado wanatambulika kama waumini. Kanisa linasema ukitaka kuwa padre...
Mkuu hata kama unakaa masaki usiwadharau wanaokaa Tandale kwa mfuga mbwa. Usafi ni kazi kama kazi nyingine. Hongera kwa kuyashinda majaribu ila si kwa sababu ni msafi, ila ulishinda kwa sababu ya 'DHARAU' zako.
Na kwa taarifa yako kuna wale si wafanya usafi na hawagawi koridoni za ofisini tu...
Hongera kwa uamuzi mzuri! Nakushauri baada ya mama kutulia muulize what happened mpaka ikawa hivyo? Yaani ilikuwaje ulelewe na baba mwingine? Utakuta mama ndo alimdhulumu baba yako mzazi haki ya kuwa na wewe na kumpa huyo baba mlezi jukumu la kukulea.
Baba mlezi alikuwa anajuwa kuwa wewe si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.