ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 5,011
- 11,807
Misitu gani wataingia wakati misitu yote kuna makambi na vituo vya kijeshi
labda mambwe pande mkuu
Misitu gani wataingia wakati misitu yote kuna makambi na vituo vya kijeshi
sina uhakika na hili, jw itakuwa haina uwezo wa kuchukua wote watokao jkt, lkn nafasi zinapo tokea kwanini wasichukue miongoni mwa jkt?ooh kumbe ili ufike JWTZ lazima upite JKT? na Kama ndio intake zote za JKT zinaingiaga Jeshini?
Hawa sio watoto, ndugu na jamaa za askari walioko kambini?
Ajira alizoahidi sio za kuajiri serikalini tu ni pamoja na sekta binafsi.Ajira million mlizoahidi zipo wapi? Tukidai ahadi zenu mnaanza kulia wacha tuandamane
Misitu gani wataingia wakati misitu yote kuna makambi na vituo vya kijeshi
hiyo ni mentality ya kizamani.libya,tunisia na misri hakuna mapori lakini bado uasi ulitokea.
Hawa wanataka eti wachukuliwe JWTZ wakanywe bia za bukubuku! Nchi hii imejaa vilaza wasiotaka kuumiza vichwa.
Sasa wakiandamana wa JKT wa vyuo vikuu nao wafanyeje?waache ubabaishaji,nani aliwaambia kuwa baada ya JKT kuna ajira?waende makampuni ya Ulinzi au waji organize waombe mkopo wafungue kampuni yao ya ulinzi na sio kuliazimisha serikali iwaajiri wakati wengi wao ni STD 7 na form four division 5hivi unajiua tawala nyingi zinaanguka kwa tatizo la ajira na matatizo ya kiuchumi? usilichukulie hili suala kimzaha
sina uhakika na hili, jw itakuwa haina uwezo wa kuchukua wote watokao jkt, lkn nafasi zinapo tokea kwanini wasichukue miongoni mwa jkt?
Aaaa bana, hii imezuiliwa.Aaah! mafunzo waliyopata hawa ni ya kuchoma singe tu adui 2 kwa kutumia SAR na kuonyeshwa kwa macho bunduki aina ya G3, SMG, LMG na bomu la RPG 7v basi, hawana kingine zaidi ya kuimba, mguu pande mguu sawa, kunyakuwa na kupita juu ya kamba.
hiyo ni mentality ya kizamani.libya,tunisia na misri hakuna mapori lakini bado uasi ulitokea.
Aaah! mafunzo waliyopata hawa ni ya kuchoma singe tu adui 2 kwa kutumia SAR na kuonyeshwa kwa macho bunduki aina ya G3, SMG, LMG na bomu la RPG 7v basi, hawana kingine zaidi ya kuimba, mguu pande mguu sawa, kunyakuwa na kupita juu ya kamba.