suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
ipo sana tu kuna project inakula muda wake but itarud any time
Owh ngoja nikae mkao wa kula
ipo sana tu kuna project inakula muda wake but itarud any time
Basi Leo jioni pale siku zote.
ntakuletea matarumbeta na cake usuntwe... maneno mengi ka nanii
kupasha kwa mwanaume sunna, sa unataka wiki zipite na miezi tafikiri niko under age
Hahhha ntakuletea shost wako, nadhan utamwonea hurumaHuyo atakae nisuta ahakikishe amejizatiti kwelikweli
Hapo.chacha hata mie nakuunga mkono shemeji
Seychelles...
Hahhha ntakuletea shost wako, nadhan utamwonea huruma
We mlete tuu
bora useme weye shem, sijui katoka kwao kuja kunipikia!?? ka chakula ata kwetu nlipikiwa lol!!!
Tinna nataka mguu wa tatu usimame kwa hisia. Mda mrefu sana haujasimama na huyu kassie anajua kuleta hisia balaa..
Hapa niko on the way to vacation nikifika ntawajuza habari za huko. This time sea shell hahahaa, asante mola kwa kunipatia riziki hii nakula ujana. Likizo time ndo hiyo niwatakie MMU wote Happy Festive Season mie ndo hivo nshaanza kuinjoikuserebuka hureeee.
.
Sea shell ila ntatua mahali flani (Abu Dhabi) kwanza kwa siku7 kisha niende sea shells. Karibu twende life is to live, lets enjoy and have fun.
Hapana shaka, akitokea msea shell akajichanganya tunapiga mechi kama kawa ya Kasie. Simulizi kwa sana, kaeni mkao wa kusimuliwa.
Sijambo japo nakumis mbayaaa!
Nawe uko tayari kuamsha hisia zangu?
Thanks a million Nyani Ngabu.... mmuahhh!!!
Lol! na hili baridi kazi kwako......
Not a problem.
I hope you are having a bang-up time.
Just don't do anything I wouldn't do (and there isn't a whole hell of a lot that I wouldn't...)
Hajakosea, ni eneo jipya la dunia limevumbuliwa na Vasco Da Gama.
shoga umejisahau eti anasema ndo mana anachepuka na ana mpango wa kukurudisha kwenu wampe chench yake
umezidi kujichimbia
kupasha kwa mwanaume sunna, sa unataka wiki zipite na miezi tafikiri niko under age
Sea shell ila ntatua mahali flani (Abu Dhabi) kwanza kwa siku7 kisha niende sea shells. Karibu twende life is to live, lets enjoy and have fun.
Mweeee kimya kingi.........................................?
Mmmmmnh achepuke tu, Miss you, mzima wewe?