wanapotoa hizo comments mbona wanasahau kusema histori kuwa umasikini tulio nao sasa wao ni sehemu ya kisababishi? walipo gawana bara la africa kama njugu 1884/1885 pale Berlin, na kuzitumia rasilimali zetu (ikiwemo rasilimali watu) watakavyo kwa kuendeleza miji yao mikuu kama vile London...
anaogopa uvunjifu wa amani nchini kwani wananchi wa mbeya wameshatangaza kujitenga na tanganyika iwapo watabaini kuwa kuna hujuma zimefanywa dhidi ya viongozi wao
hapo kwenye RED! ndugu yangu inaonesha wewe katiba ya JMT huijui yaani huo mkutano hata ungefanyika Makka bado maamuzi yake yatajadiliwa na katiba ya JMT na wala si katiba ya zanzibar kwa sababu mambo ya vyama vya siasa si miongoni mwa mambo ya Zanzibar wa Tanganyika ni mambo ya kimuungano hivyo...
AG Werema ana mamlaka zanzibar kwani yeye ni mwanasheria mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania; Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itasughulikia mambo yasiyo ya kimuungano ya Tanaganyika na mambo ya yaliyo ya...
suluhisho la tatizo hili si kugoma, bali MAT wana nafasi kubwa sana ya kujadiliana na serkali ili kurekebisha hali hii; tufikirie pia maisha ya watu wagonjwa iwapo mgomo utafanywa nchi nizima
mimi siukupongezi kwanza mpaka unifafanulie mabo yafyatayo:
1. ninvyofahamu mimi wabunge wa viti maalum huchaguliwa/kuteuliwa kutokana na mikoa: iweje katika kazi zote ulizozifanya zijikite katika jimbo la Kirombero? vipi kuhusu maeneo mengine yanayounda mkoa wa Morogoro yanawakilshwa na mbunge...
mlimkaribisha wenyewe huyu mzee wa mwiha kwa uroho wenu wa kutaka kuongeza majimbo ili muongeze ruzuku! Leo tena hai enhee!! Ninyi ndio hamfai kwa sababu hamjui kuchagua wagombea bora! Mnakurupuka tu eti shibuda! Hamjui hata alipotoka, wala historia yake!
T 2015 CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.