measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Mwaka 2005 tukiwa intern pale Muhimbili tulipata matatizo ya kutokulipwa Kama ilivyo leo. Dr Hamisi alikuwa kiongozi na tulishiriki wote kufuatilia wizarani, tukagoma, wakatishia kutufuta usajili. Leo wadogo zetu madaktari yamewakuta. Wewe una maoni gani kwa swala hili na unaishauri nini serikali inayoongozwa na chama chako? Ukiwa Kama mjumbe