Mlimani hapashikiki, mtu kwa mtu

ugaibuni

Member
Jan 5, 2012
15
9
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam(Mlimani) leo wmeandamana kushinikiza uongozi wa Chuo kuwarudisha wenzao waliofukuzwa chuo. Wanafunzi hao huku wakiimba nyimbo mbalimbali za kumsifu baba wa taifa walilalamikia hatua ya chuo hicho kuwafukuza wenzao wakisema hawataingia madarasani mpaka wenzao warudishwe.



Mkuu wa chuo hicho huku akijiumauma kwa kusema siri za chuo mara zaidi ya mbili alisisitiza msimamo wao wa kutowarudisha wanafunzi hao. Je nini kitaendela??

Chanzo: Ughaibuni.com
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo anasema "tunashirikiana na wenzetu polisi".....against who?
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
 
Back
Top Bottom