Recent content by Tajiri mpole

  1. Tajiri mpole

    Ungekuwa na Mamlaka Serikalini, ungefanya nini kuikuza Tanzania kiuchumi bila kumuongezea mzigo mwananchi?

    Ni ishu ndogo sana,nikuweka mikakati mizuri ya matumizi na usimamizi wa rasilimali tulizobarikiwa.
  2. Tajiri mpole

    Picha: athari ya mvua Huko mtaani kwako Hali ipoje?

    Number zao zipo hapo Mzee wapigie, kumbuka kuanza na code ya Uganda. Ila kwa mawazo yangu naona ni tangazo Bar wameliboresha
  3. Tajiri mpole

    Bariadi: Wanafunzi wavunja masomo na kuzuia Msafara wa Mbowe, wampigia Saluti

    Nimevutiwa na tabasamu la Watoto,then Mh Mbowe anaonekana ni Baba mzuri .Mungu ampatie maisha marefu
  4. Tajiri mpole

    Wanadiplomasia kutokukaguliwa viwanja vya ndege chanzo cha biashara ya madawa ya kulevya?

    Swali nje ya mada.Hivi wandugu kuna mtu ameshuhudia Mh Ridhiwani akiwa kwenye ziara nje ya nchi yoyote tangu aingie kwenye siasa?kwanini hasafiri au anaogopa ndege?
  5. Tajiri mpole

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Hao wafanya biashara unaowasema wengi utajiri wemeupata kwakuiba au kwakupitia rasilimali za Bara(Tanganyika)
  6. Tajiri mpole

    Wakali wa Itifaki, mbona zulia la bluu bahari limetumika badala ya zulia jekundu kwenye ziara ya Rais Samia Uturuki?

    Hilo zulia la blue wanawekewa nchi au mgeni ombaomba..(Mwenye kusaidiwa.).
  7. Tajiri mpole

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    Na huo umri kwa muonekano amefoji,huyo ni zaidi ya 60.Mzee amebebeshwa sembe ukute na kijana wake kabisa wakumzaa
  8. Tajiri mpole

    Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

    Gadna ID yake inafahamika ?Mana naamini alikuwepo humu
  9. Tajiri mpole

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Muite Furaha,Amani,Zawadi,Waziri etc.Daaaa mimi wanangu nimewapa majina vyeo vya Jeshini,Nimeanza na General(Wakiume) ,na Lieutenant (Wakike).Sijabahatika wengine
  10. Tajiri mpole

    Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

    Daaa nimekumbuka Muinjilist mmoja wa Kisabato niliwahi onana nae Kanda ya ziwa akiitwa MPENDA WALI.
  11. Tajiri mpole

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Nimekuelewa sana ,nashangaa wengi wanasingiza pombe,lakini waamesahau pia kuna gita la umeme.
  12. Tajiri mpole

    Nimegundua matajiri wengi hapa Tanzania hawajasoma

    Hao ni matajiri waliopata utajiri nyuma ya mwaka 2000,Matajiri wengi wanaoibukia sasa wanakitabu na hata mbele tunapokwemda kitabu kitaendelea kusaidia kuwapa vijana dira ya kuwa matajiri.
  13. Tajiri mpole

    Ikiwa tumekufa tutaweza kutambua kama tumekufa?

    Hili swali tumuulize marehemu!!
Back
Top Bottom