GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa: Uteuzi wa Luhaga Mpina ni batili kisheria, hastahili kuwa Mgombea Urais kupitia ACT

GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa: Uteuzi wa Luhaga Mpina ni batili kisheria, hastahili kuwa Mgombea Urais kupitia ACT

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
UTATA WA SHERIA ZA UCHAFUZI
Pingamizi la MonaLisa dhidi ya Mpina☑️☑️

Pingamizi la Mzee Malisa dhidi ya Samia ❌❌

Hii hajawahi kutokea rais mwenye mabango Kila eneo la nchi kagawa pikipiki na baiskeli Kila eneo kuogopa wapinzani kiasi hiki🤣
 
View attachment 3453929

View attachment 3453932
MONALISA JOSEPH NDALA | 0657299225 | 0741299226 | ndalamonalisa50@gmail.com
26 Agosti 2025

TAARIFA KWA UMMA

KUHUSU UAMUZI WA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUHUSIANA NA MALALAMIKO YANGU DHIDI YA UTEUZI WA BW. LUHAGA JOELSON MPINA KAMA MGOMBEA URAIS WA ACT-WAZALENDO

Mtukumbuke kuwa mimi Monalisa Joseph Ndala niliwasilisha malalamiko Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nikionesha dosari za kikatiba na kikanuni katika mchakato wa uteuzi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama chetu cha ACT-Wazalendo.

Ninafuraha kuwaarifu kuwa baada ya majibizano ya kibarua na hatimaye kukutanishwa mbele ya Msajili wa Vyama vya Siasa baina yangu na viongozi wa chama wakiiongozwa na katibu mkuu na mwanasheria mkuu wetu,

Leo Agosti 26, 2025, nimepokea nakala ya barua inayoitoa maamuzi kuhusu malalamiko ambayo kimsingi ofisi ya msajili imekubaliana na hoja zangu kwamba:

1. Kanuni za Uchaguzi za ACT-Wazalendo za mwaka 2024 zinatumika pia katika kuteua wagombea wa nafasi za kiserikali, ikiwemo Urais. (Hivyo mgombea wetu anakosa sifa ya kutokuwa mwanachama siku 7 kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza),

2. Mwisho wa kuchukua fomu za kuomba uteuzi ilikuwa tarehe 25 Mei 2025, kabla ya Bw. Luhaga Joelson Mpina kuwa mwanachama. Hivyo mgombea wetu kuwa nje ya muda wa kimchakato wa kikanuni za kiuchaguzi.

Mtukumbuke kuwa Bw. Mpina alipata uanachama wa ACT-Wazalendo tarehe 5 Agosti 2025, siku 1 kabla ya kutangazwa na Mkutano Mkuu wa chama tarehe 6 Agosti 2025, kinyume na kanuni zetu zinavyotaka. Hakukuw na ushahidi wa kikao chochote cha chama kilichorekebisha ratiba rasmi ya kuchukua na kurejesha fomu.

Kwa msingi huo, Msajili wa Vyama vya Siasa ametamka wazi kwamba uteuzi wa Bw. Luhaga Joelson Mpina ni batili kisheria na hivyo hastahili kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. (Uteuzi umevunja sheria ya vyama vya siasa sura 258, Katiba ya ACT-WAZALENDO na kanuni za kudumu za uendeshaji wa chama za mwaka 2015 na toleo la mwaka 2024)

Ninapokea uamuzi huu kwa heshima kubwa na ninaona ni ushindi wa kuheshimu Katiba, Kanuni na Sheria za nchi katika kulinda demokrasia ya kweli. Hatua hii imethibitisha kwamba hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuwa juu ya sheria.

Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini kuhakikisha vinaendesha michakato yake kwa uwazi, uadilifu na kwa mujibu wa taratibu, ili kulinda heshima ya demokrasia na kuimarisha imani ya wananchi.

Pamoja na salamu za CHAMA, "ACT WAZALENDO, Taifa kwanza leo na kesho."

Imetolewa na:
Monalisa Joseph Ndala
Katibu Mwenyekiti, ACT-WAZALENDO (M), DSM.
Naibu Waziri Kivuli, Sanaa, Utamaduni na Michezo
Email: ndalamonalisa50@gmail.com | Simu: 0657299225
Dar es Salaam
Mutungi is a registrar from hell. Uteuzi wa Samia The Killer umekidhije matakwa ya kikatiba, kikanuni na kisheria?
 
Yaani mwanachama anakishtaki chama chake kwa msajili ambaye hawana imani naye ili mgombea wao wa uchaguzi aenguliwe aisee, hilo pingamizi kwa nini halikuanzia ndani hadi mtu anasubiri timing muafaka.Huu si ukachaa kabisa...
Futeni uanachama huyo mama, hakuna chama hapo kwa mwenendo huo, hamjifunzi kwa CCM tu.
Yale yale yaliyofanyika CHADEMA ndiyo CCM kupitia mapandikizi wake imetumia kwa ACT-WAZALENDO.
 
View attachment 3453929

View attachment 3453932
MONALISA JOSEPH NDALA | 0657299225 | 0741299226 | ndalamonalisa50@gmail.com
26 Agosti 2025

TAARIFA KWA UMMA

KUHUSU UAMUZI WA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUHUSIANA NA MALALAMIKO YANGU DHIDI YA UTEUZI WA BW. LUHAGA JOELSON MPINA KAMA MGOMBEA URAIS WA ACT-WAZALENDO

Mtukumbuke kuwa mimi Monalisa Joseph Ndala niliwasilisha malalamiko Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nikionesha dosari za kikatiba na kikanuni katika mchakato wa uteuzi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama chetu cha ACT-Wazalendo.

Ninafuraha kuwaarifu kuwa baada ya majibizano ya kibarua na hatimaye kukutanishwa mbele ya Msajili wa Vyama vya Siasa baina yangu na viongozi wa chama wakiiongozwa na katibu mkuu na mwanasheria mkuu wetu,

Leo Agosti 26, 2025, nimepokea nakala ya barua inayoitoa maamuzi kuhusu malalamiko ambayo kimsingi ofisi ya msajili imekubaliana na hoja zangu kwamba:

1. Kanuni za Uchaguzi za ACT-Wazalendo za mwaka 2024 zinatumika pia katika kuteua wagombea wa nafasi za kiserikali, ikiwemo Urais. (Hivyo mgombea wetu anakosa sifa ya kutokuwa mwanachama siku 7 kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza),

2. Mwisho wa kuchukua fomu za kuomba uteuzi ilikuwa tarehe 25 Mei 2025, kabla ya Bw. Luhaga Joelson Mpina kuwa mwanachama. Hivyo mgombea wetu kuwa nje ya muda wa kimchakato wa kikanuni za kiuchaguzi.

Mtukumbuke kuwa Bw. Mpina alipata uanachama wa ACT-Wazalendo tarehe 5 Agosti 2025, siku 1 kabla ya kutangazwa na Mkutano Mkuu wa chama tarehe 6 Agosti 2025, kinyume na kanuni zetu zinavyotaka. Hakukuw na ushahidi wa kikao chochote cha chama kilichorekebisha ratiba rasmi ya kuchukua na kurejesha fomu.

Kwa msingi huo, Msajili wa Vyama vya Siasa ametamka wazi kwamba uteuzi wa Bw. Luhaga Joelson Mpina ni batili kisheria na hivyo hastahili kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. (Uteuzi umevunja sheria ya vyama vya siasa sura 258, Katiba ya ACT-WAZALENDO na kanuni za kudumu za uendeshaji wa chama za mwaka 2015 na toleo la mwaka 2024)

Ninapokea uamuzi huu kwa heshima kubwa na ninaona ni ushindi wa kuheshimu Katiba, Kanuni na Sheria za nchi katika kulinda demokrasia ya kweli. Hatua hii imethibitisha kwamba hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuwa juu ya sheria.

Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini kuhakikisha vinaendesha michakato yake kwa uwazi, uadilifu na kwa mujibu wa taratibu, ili kulinda heshima ya demokrasia na kuimarisha imani ya wananchi.

Pamoja na salamu za CHAMA, "ACT WAZALENDO, Taifa kwanza leo na kesho."

Imetolewa na:
Monalisa Joseph Ndala
Katibu Mwenyekiti, ACT-WAZALENDO (M), DSM.
Naibu Waziri Kivuli, Sanaa, Utamaduni na Michezo
Email: ndalamonalisa50@gmail.com | Simu: 0657299225
Dar es Salaam

Pia soma GE2025 - Monalisa wa ACT Wazalendo aandika barua kwa Msajili wa Vyama Vya Siasa kupinga Luhaga Mpina kuteuliwa kama mgombea Urais
Yote haya yamefanyika bila mtu kuitwa msaliti, kunyang'anywa cheo au kufukuzwa kwenye chama. Act Wazalendo wameonyesha ukomavu wa hali ya juu.

Amandla...
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, ikisema haukufuata taratibu za chama hicho, hivyo hastahili kuwa mgombea wa nafasi hiyo.

Uamuzi huo, unakuja baada ya ofisi hiyo kuwakutanisha viongozi wa chama hicho na Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala aliyelalamikia kupitishwa kwa Mpina, akidai kulivunja kanuni.

Mpina amekutana na kigingi hicho siku moja kabla ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa wagombea udiwani, ubunge na urais watakaoshiri Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025.

Baada ya hatua hiyo, inafuata hatua ya kuweka mapingamizi dhidi ya mgombea urais, hatua inayoweza kuwekwa na mgombea mwingine yeyote, msajili wa vyama au Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwisho wa kuweka pingamizi kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, ni hadi keshokutwa Agosti 28, saa 10:00 jioni, isipokuwa kama aliyeliweka ni Msajili wa Vyama vya Siasa, ukomo wake ni ndani ya siku 14 baada ya siku ya uteuzi.

Mpina na mgombea mwenza wa urais wake, Fatma Fereji walikwishachukua fomu na INEC za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi hiyo na wanatarajia kesho Agosti 27 kuzirejesha kwa ajili ya uteuzi.

Tayari wawili hao wamezunguka mikoani kusaka wadhamini 200 katika kila mkoa kwenye mikoa isiyopungua kumi, ikiwemo miwili ya Zanzibar.
 
Mbona Edo alitoka CCM Mwezi July, na Mwezi huo huo akaibukia CDM kama mgombea wao wa URais

Ama Katiba Kuna baadhi ya maeneo imekaa kimya 🙌

Vipi gharama alizoingia Bwana Mpina hadi sasa?

Anyways, namwona akirudi kugombea Ubunge tu pale kwao Kisesa 🙌
Inategemea Katiba ya Chama husika. Labda Katiba ya Chadema iliruhusu mtu kugombea mara tu baada ya kujiunga.

Amandla...
 
Wa ccm vipi? Kuna watu wanataka kuondoka na nchi maana wenda wanajua Mungu hayupo upande wao
View attachment 3453929

View attachment 3453932
MONALISA JOSEPH NDALA | 0657299225 | 0741299226 | ndalamonalisa50@gmail.com
26 Agosti 2025

TAARIFA KWA UMMA

KUHUSU UAMUZI WA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUHUSIANA NA MALALAMIKO YANGU DHIDI YA UTEUZI WA BW. LUHAGA JOELSON MPINA KAMA MGOMBEA URAIS WA ACT-WAZALENDO

Mtukumbuke kuwa mimi Monalisa Joseph Ndala niliwasilisha malalamiko Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nikionesha dosari za kikatiba na kikanuni katika mchakato wa uteuzi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama chetu cha ACT-Wazalendo.

Ninafuraha kuwaarifu kuwa baada ya majibizano ya kibarua na hatimaye kukutanishwa mbele ya Msajili wa Vyama vya Siasa baina yangu na viongozi wa chama wakiiongozwa na katibu mkuu na mwanasheria mkuu wetu,

Leo Agosti 26, 2025, nimepokea nakala ya barua inayoitoa maamuzi kuhusu malalamiko ambayo kimsingi ofisi ya msajili imekubaliana na hoja zangu kwamba:

1. Kanuni za Uchaguzi za ACT-Wazalendo za mwaka 2024 zinatumika pia katika kuteua wagombea wa nafasi za kiserikali, ikiwemo Urais. (Hivyo mgombea wetu anakosa sifa ya kutokuwa mwanachama siku 7 kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza),

2. Mwisho wa kuchukua fomu za kuomba uteuzi ilikuwa tarehe 25 Mei 2025, kabla ya Bw. Luhaga Joelson Mpina kuwa mwanachama. Hivyo mgombea wetu kuwa nje ya muda wa kimchakato wa kikanuni za kiuchaguzi.

Mtukumbuke kuwa Bw. Mpina alipata uanachama wa ACT-Wazalendo tarehe 5 Agosti 2025, siku 1 kabla ya kutangazwa na Mkutano Mkuu wa chama tarehe 6 Agosti 2025, kinyume na kanuni zetu zinavyotaka. Hakukuw na ushahidi wa kikao chochote cha chama kilichorekebisha ratiba rasmi ya kuchukua na kurejesha fomu.

Kwa msingi huo, Msajili wa Vyama vya Siasa ametamka wazi kwamba uteuzi wa Bw. Luhaga Joelson Mpina ni batili kisheria na hivyo hastahili kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. (Uteuzi umevunja sheria ya vyama vya siasa sura 258, Katiba ya ACT-WAZALENDO na kanuni za kudumu za uendeshaji wa chama za mwaka 2015 na toleo la mwaka 2024)

Ninapokea uamuzi huu kwa heshima kubwa na ninaona ni ushindi wa kuheshimu Katiba, Kanuni na Sheria za nchi katika kulinda demokrasia ya kweli. Hatua hii imethibitisha kwamba hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuwa juu ya sheria.

Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini kuhakikisha vinaendesha michakato yake kwa uwazi, uadilifu na kwa mujibu wa taratibu, ili kulinda heshima ya demokrasia na kuimarisha imani ya wananchi.

Pamoja na salamu za CHAMA, "ACT WAZALENDO, Taifa kwanza leo na kesho."

Imetolewa na:
Monalisa Joseph Ndala
Katibu Mwenyekiti, ACT-WAZALENDO (M), DSM.
Naibu Waziri Kivuli, Sanaa, Utamaduni na Michezo
Email: ndalamonalisa50@gmail.com | Simu: 0657299225
Dar es Salaam

Pia soma GE2025 - Monalisa wa ACT Wazalendo aandika barua kwa Msajili wa Vyama Vya Siasa kupinga Luhaga Mpina kuteuliwa kama mgombea Urais
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, ikisema haukufuata taratibu za chama hicho, hivyo hastahili kuwa mgombea wa nafasi hiyo.

Uamuzi huo, unakuja baada ya ofisi hiyo kuwakutanisha viongozi wa chama hicho na Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala aliyelalamikia kupitishwa kwa Mpina, akidai kulivunja kanuni.

Mpina amekutana na kigingi hicho siku moja kabla ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa wagombea udiwani, ubunge na urais watakaoshiri Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025.

Baada ya hatua hiyo, inafuata hatua ya kuweka mapingamizi dhidi ya mgombea urais, hatua inayoweza kuwekwa na mgombea mwingine yeyote, msajili wa vyama au Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwisho wa kuweka pingamizi kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi, ni hadi keshokutwa Agosti 28, saa 10:00 jioni, isipokuwa kama aliyeliweka ni Msajili wa Vyama vya Siasa, ukomo wake ni ndani ya siku 14 baada ya siku ya uteuzi.

Mpina na mgombea mwenza wa urais wake, Fatma Fereji walikwishachukua fomu na INEC za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi hiyo na wanatarajia kesho Agosti 27 kuzirejesha kwa ajili ya uteuzi.

Tayari wawili hao wamezunguka mikoani kusaka wadhamini 200 katika kila mkoa kwenye mikoa isiyopungua kumi, ikiwemo miwili ya Zanzibar.
Si wana haki ya kukata rufaa Mahakamani?

Amandla...
 
Nahisi viongozi na wanachama wengi wa ACT-WAZALENDO hawakufurahia uteuzi wa Mpina.

Amandla...
 
View attachment 3453929

View attachment 3453932
MONALISA JOSEPH NDALA | 0657299225 | 0741299226 | ndalamonalisa50@gmail.com
26 Agosti 2025

TAARIFA KWA UMMA

KUHUSU UAMUZI WA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUHUSIANA NA MALALAMIKO YANGU DHIDI YA UTEUZI WA BW. LUHAGA JOELSON MPINA KAMA MGOMBEA URAIS WA ACT-WAZALENDO

Mtukumbuke kuwa mimi Monalisa Joseph Ndala niliwasilisha malalamiko Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nikionesha dosari za kikatiba na kikanuni katika mchakato wa uteuzi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama chetu cha ACT-Wazalendo.

Ninafuraha kuwaarifu kuwa baada ya majibizano ya kibarua na hatimaye kukutanishwa mbele ya Msajili wa Vyama vya Siasa baina yangu na viongozi wa chama wakiiongozwa na katibu mkuu na mwanasheria mkuu wetu,

Leo Agosti 26, 2025, nimepokea nakala ya barua inayoitoa maamuzi kuhusu malalamiko ambayo kimsingi ofisi ya msajili imekubaliana na hoja zangu kwamba:

1. Kanuni za Uchaguzi za ACT-Wazalendo za mwaka 2024 zinatumika pia katika kuteua wagombea wa nafasi za kiserikali, ikiwemo Urais. (Hivyo mgombea wetu anakosa sifa ya kutokuwa mwanachama siku 7 kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza),

2. Mwisho wa kuchukua fomu za kuomba uteuzi ilikuwa tarehe 25 Mei 2025, kabla ya Bw. Luhaga Joelson Mpina kuwa mwanachama. Hivyo mgombea wetu kuwa nje ya muda wa kimchakato wa kikanuni za kiuchaguzi.

Mtukumbuke kuwa Bw. Mpina alipata uanachama wa ACT-Wazalendo tarehe 5 Agosti 2025, siku 1 kabla ya kutangazwa na Mkutano Mkuu wa chama tarehe 6 Agosti 2025, kinyume na kanuni zetu zinavyotaka. Hakukuw na ushahidi wa kikao chochote cha chama kilichorekebisha ratiba rasmi ya kuchukua na kurejesha fomu.

Kwa msingi huo, Msajili wa Vyama vya Siasa ametamka wazi kwamba uteuzi wa Bw. Luhaga Joelson Mpina ni batili kisheria na hivyo hastahili kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. (Uteuzi umevunja sheria ya vyama vya siasa sura 258, Katiba ya ACT-WAZALENDO na kanuni za kudumu za uendeshaji wa chama za mwaka 2015 na toleo la mwaka 2024)

Ninapokea uamuzi huu kwa heshima kubwa na ninaona ni ushindi wa kuheshimu Katiba, Kanuni na Sheria za nchi katika kulinda demokrasia ya kweli. Hatua hii imethibitisha kwamba hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuwa juu ya sheria.

Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini kuhakikisha vinaendesha michakato yake kwa uwazi, uadilifu na kwa mujibu wa taratibu, ili kulinda heshima ya demokrasia na kuimarisha imani ya wananchi.

Pamoja na salamu za CHAMA, "ACT WAZALENDO, Taifa kwanza leo na kesho."

Imetolewa na:
Monalisa Joseph Ndala
Katibu Mwenyekiti, ACT-WAZALENDO (M), DSM.
Naibu Waziri Kivuli, Sanaa, Utamaduni na Michezo
Email: ndalamonalisa50@gmail.com | Simu: 0657299225
Dar es Salaam

Pia soma GE2025 - Monalisa wa ACT Wazalendo aandika barua kwa Msajili wa Vyama Vya Siasa kupinga Luhaga Mpina kuteuliwa kama mgombea Urais
Unagombea urais hujui sheria za nchi? Unaenda kuongoza ng'ombe? Na Zitto naye amekuwaje mbn kwa wengine anajua kubwabwaja?
 
Back
Top Bottom