Baadhi ya watumishi katika idara ya afya wilayani kaliua,wamepewa BARUA za uhamisho kufuatia agizo la mkuu wa mkoa huo ndg aggrey mwanri lakini kumbe halmashauli hiyo haikuwa na fedha za kuwahamisha watumishi hao na kuishia kuwa usumbufu kwa watumishi hao na familia zao,,Rc inatakiwa aingilie...
Mkuu kwa uelewa wangu mdogo kuhusu sayansi ni kuwa,mtu anapokuwa ktk hatua ya kuelekea kwenye kifo,nerves na muscles zote huwa znarelax badala ya kucontract km kawaida,zikirelax ndo huruhusu kinyesi na mkojo vitoke kwa sababu hakuna kinacontrol tena km kawaida,ni hayo tuu ndg
Sent using Jamii...
Yaan nchi hii tunaombeana umaskin tuu,mtoa mada mwenyewe kwa post yako ni maskini wa kutupa kwa sababu maskin siku zote huombeana na hufurahia shida za wengne
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kusaidiwa kuwa ni kwa nn ugonjwa wa maralia hauwekwi ktk list ya magonjwa ya kuambukiza km HIV?,au vp mtu akifanya mapenzi na mgonjwa wa maralia na michubuko kwa wote ikatokea si wale maralia parasite wataenda kwa mtu wa pili pia na kumuambukiza maralia? Au mtu kuongezewa damu yenye...
Naomba kusaidiwa kuwa ni kwa nn ugonjwa wa maralia hauwekwi ktk list ya magonjwa ya kuambukiza km HIV?,au vp mtu akifanya mapenzi na mgonjwa wa maralia na michubuko kwa wote ikatokea si wale maralia parasite wataenda kwa mtu wa pili pia na kumuambukiza maralia? Au mtu kuongezewa damu yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.