mtanzania10
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 271
- 81
Hivi kuna mtumishi yoyote idara ya elimu halmashauri ya wilaya kibongo ameshalipwa mshahara mbona halmashauri nyingine wamelipwa tangia tarehe kumi na nane ya mwezi huu tatizo nn kibondo
tunaleta mshahara kwa baiskeli na huko ni mbali sana so vumilieniHivi kuna mtumishi yoyote idara ya elimu halmashauri ya wilaya kibongo ameshalipwa mshahara mbona halmashauri nyingine wamelipwa tangia tarehe kumi na nane ya mwezi huu tatizo nn kibondo
Hivi kuna mtumishi yoyote idara ya elimu halmashauri ya wilaya kibongo ameshalipwa mshahara mbona halmashauri nyingine wamelipwa tangia tarehe kumi na nane ya mwezi huu tatizo nn kibondo
Inawezekana je! Hii watu wa kibondo njoen mtupe ukwel
Mmeipenda wenyewe, acha muisome namba
Dah..Inawezekana je! Hii watu wa kibondo njoen mtupe ukwel
Kibondo wanakula dagaa tena wa Mwanza,migebuka umekua shida kupatikana hata Kigoma ziwani !!!Mshahara mnautaka wa nini ilhali huko mnayo mahindi. Maharage ba migebuka?
Wafanye kazi mshahara wa nini? Wameamua kuitika wito.Ualimu ni WITO...
Acha waisome nambaaa sisiemu mbele kwa mbeleeeMmeipenda wenyewe, acha muisome namba
Hata halmashauli ya kaliua bado mishahara haijatokaHivi kuna mtumishi yoyote idara ya elimu halmashauri ya wilaya kibongo ameshalipwa mshahara mbona halmashauri nyingine wamelipwa tangia tarehe kumi na nane ya mwezi huu tatizo nn kibondo
Unaijua Kibondo au unapost tu!? Migebuka wanaitoa wapi!!??Mshahara mnautaka wa nini ilhali huko mnayo mahindi. Maharage ba migebuka?
Mbunge wenu ni wa chechemaa au chamadume aka CHADEMA ?Unaijua Kibondo au unapost tu!? Migebuka wanaitoa wapi!!??