Naomba kusaidiwa kuwa ni kwa nn ugonjwa wa maralia hauwekwi ktk list ya magonjwa ya kuambukiza km HIV?,au vp mtu akifanya mapenzi na mgonjwa wa maralia na michubuko kwa wote ikatokea si wale maralia parasite wataenda kwa mtu wa pili pia na kumuambukiza maralia? Au mtu kuongezewa damu yenye maralia parasite pia si inaweza sababisha maralia kwa anayewekewa damu pia?,msaada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app