Recent content by T2015

  1. T

    Niombe Talaka?

    Kapime DNA uhakikishe watoto wote ni wake ndo uanze mchakato wa Talaka usije ukaaibika kumbe njembe nilanasa tetesi mtoto mmoja kati ya hao wawili sio wake.
  2. T

    Nini tofauti ya Petty cash, Cash sale, Invoice, Receipt na proforma?

    Great mariam, can u put it English please!
  3. T

    Wataalam wa Usalama wa Anga tusaidieni, Rubani huyu alikuwa sahihi?

    Mkapa, ajali ilitokea Mtwara
  4. T

    Kibonde kaharibu kazi ya MC Msofe

    Yes he got some point, kwahiyo Lowasa ndo alitakiwa kumkaribisha Mwenyekiti kama ni hivo based on Seniority. Mimi nahisi, mwenyekiti kukubali mualiko na kukaa mbele tayari inaifanya shughuli ya Chama, ilibidi protocal za Chama zifuatwe. Angekuwepo Mkuu wa Mkoa protocali za serikali ingekuwepo...
  5. T

    Urais 2015: Nchimbi amejitoa na kujiunga na team Lowassa, wengine watafuata?

    Cha msingi ni amani ya Watanzania, chaguo lao hakiwezi kupingwa wala kujadiliwa katika Mahakama yoyote chini ya jua, maana hiyo haki yao ya kuchagua whether wrong or wright to me. Demokrasia ndo garama yako hii kuwa wananchi wanaweza kumchagua kiongozi yeyote hata mjinga/zezeta lakini kazi ya...
  6. T

    Mke wangu amerudi nyumbani, Lakini haniongeleshi, unyumba sipewi

    Huyu jamaa anacheza na akili zetu, kwa matatizo kama haya sio rahisi kupata muda wa kuandika Jamii Forum. Hii ni series kwahiyo haiwezi kuisha next baada ya hapa utasikia mke wake anamchepuko and all kinds of games.
  7. T

    Wizi wa Kutisha: chunguzeni katika himaya zenu kamanNamba hizi zimetumika kwa uhalifu

    Hii habari ni muhimu sana kwa watu, bahati mbaya manyang'au sasa hivi wanakula na kujampa Lowasa. Rip Common Sense...
  8. T

    Tumwambie mumewe ukweli au?

    Of course, mleta mada is kinda smart be true or fake story but very informative. Mkuu mimi niliandika mwanzoni kuwa HR ni triple center, unalink Wafanyakazi, Mwajiri na Serikali. Uko katikati ndo maana katika kila kampuni HR lazima awe mzawa ni sheria za nchi. Kwahiyo usifanye maamuzi ya...
  9. T

    Matangazo ya biashara yaliyowahi kuvuma

    Tangazo la Revola la ITV, tangazo la Air tanzania," kilimanjaro, kilimanjaro".
  10. T

    Tumwambie mumewe ukweli au?

    Be extremely careful with this matter, the evidence presented to you about the matter must be anything but hear-say. You must make an informed decision not because the white-guy saw them. Obtain physical evidence about these 2 individuals conduct. If you have to obtain their email...
  11. T

    Tumwambie mumewe ukweli au?

    Human resource does not have to disclose anything to anybody if he/she feels employee's right/provacy will be violated. In the matter of fact, you can even hid the information from the boss if he/she has an interest in the matter. So be, DO NOT disclose any information abt this incident to...
  12. T

    Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Nakumbuka nilikuwa ndo tunamaliza mock ya form four kuna dogo form one anatuambia kuna meli imezama, watu wakaanza kumtukana atoe definition ya boat. Hiyo itakuwa boat sio meli. Nilipiga simu home kuomba nauli maza analia. It was terrible....
  13. T

    Kenya: The Standard Gauge Railway Takes Shape

    I just dont like Kenyans period. They are the most hypocrites creatures of our time. Yaani if I were a president even for Two hours, my first operation i would have commanded would have been "Operation rudisha nyang'au".
  14. T

    Tujikumbushe mabeki hodari waliochezea timu zetu Tanzania miaka ya 90

    John Masanja hakucheza kile kikosi cha Tambwe kule Uganda, namba tano alikuwa Willy Mtendawema na Half back six alikuwa Method Mogella fundi- RIP.
  15. T

    CCM Rorya wamemkataa Mkurugenzi wa Halamshauri hiyo, Ephrahimu Olengoyaine

    Mkurugenzi kagoma kuongozwa na darasa la saba. Mbunge la saba, mwenyekiti wilaya CCM la saba, mwenyekiti halmashauri la Tatu... Hii itakuwa wilaya kweli? Halafu mtu mwenyewe mmasai piga ua namba tatu hana chake.
Back
Top Bottom