Kaundime2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 1,085
- 461
Mkuu Mchakavumlasana, tuko pamoja hapa ila ofisi haina wajibu wa kumwambia chochote huyo, akamuulize mkewe, ni mtu mzima na ana uwezo wa kujieleza mwenyewe kwa nini atake maelezo kutoka ofisini? Niliisha sema nina wasiwasi na uwezo kiutendaji na huyo HR. Huyu HR eti bila aibu anasema alimuahidi kumjibu kwa maandishi, you must be out of your mind mr/mrs HR.
Tiba
mi nahisi mke atakuwa ajamuonyeshe mume hiyo barua
atakuwa ameificha ndo maana mzee akaamua kwenda kuwauliza kwa maandishi