Recent content by T-money

  1. T

    Ushauri kwa Rais kuhusu mahindi yanayosafirishwa nje ya nchi

    Mtu yoyote anayetaka mipaka ifungwe ni mwenda wazimu. That's all I can say.
  2. T

    Soko la kuuza mahindi Kenya

    Kwanini unauza Sasa kwa bei ya hasara...ukame ndio umeshaingia njaa yaja..Mahindi yatafika sh. 100,000 kwa gunia hivi karibuni...wakulima wamwshindwa kulima mwaka huu...kuwa na subira
  3. T

    Serikali fungueni mipaka wakulima wauze wenyewe mahindi, NFRA inawanufaisha wachache

    Mahindi yatapanda bei sana hivi karibuni...mwakani hali ni mbaya...kuuza kwa 50000 bado ni hasara kubwa. Kama una ghala wewe hifadhi. Ukame ushaanza Kenya...
  4. T

    Sakata la mahindi litaondoka na serikali?

    Watu Hawali milo mitatu siku hizi..umasikini umezidi...ndio maana mahindi hayatoki. Walishaharibu masoko...it is hard to get masoko tuliyokuwa nayo wakati wa kikwete...
  5. T

    Inakuwaje kila RC anayepangiwa Ruvuma agenda ni ukosefu wa soko la mahindi? Kuna haja gani kuwanadili kila mara?

    60 years of CCM. Mkulima anazidi kuwa masikini. Unategemea nini? Nchi nyingi mkulima ni tajiri isipokuwa Tanzania. Jiulize ni kwa nini?
  6. T

    Serikali isipuuzie kuthibiti bei na usafirishaji nafaka nje ya mipaka

    Yaani mijutu mingine bwana eti funga mipaka dhibiti bei ya mahindi...utafikiri walisaidia kulima vile...acha ifike sh.200,000 kwa gunia...
  7. T

    Serikali ya Tanzania yatoa misaada ya Chakula na Dawa kwa nchi za Malawi, Msumbiji na Zimbabwe zilizokubwa na mafuriko

    Baada ya kumaliza uokoaji, mabalozi wetu wachukue hatua kuzifahamisha hizi nchi kuwa Tanzania mahindi, maharage, mbaazi ni bwelele...kwahiyo waje tu kununua.
  8. T

    Gunia la kilo mia la maharage bei gani?

    Naomba kujua bei ya gunia la kilo mia la maharage haya. Nina kama gunia 50.
  9. T

    UTEUZI: Hoseah Ezekiel Kashimba ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF

    Nani anasema watu wa kanda ya ziwa wanatosha sasa? Kwani wasukuma wamekuwa wengi sana awamu hii?
  10. T

    Tofauti ya bei ya vyakula kipindi cha Kikwete na sasa Magufuli. Kupungua huku kwa bei ya chakula Rais Magufuli anahitaji hongera

    Wakulima Tanzania wangejipanga wangekuwa watu wenye nguvu sana. Kama wakulima ni asilimia 70% ya watanzania hakuna mtu anaweza kuchukua madaraka bila ya kura zao. Wakulima inabidi wafunguke macho waangalie nani anasera za kuwanufaisha. Mkulima wa mahindi atayeipigia CCM 2020 aache kabisa...
  11. T

    Mahindi bei yaanza kupanda!

    Sumbawanga gunia sh 35,000-40,000. Subira yavuta kheri. Dar imefika bei gani?
  12. T

    Waziri Hasunga: Tumefungua mipaka kuuza mahindi nje ya nchi

    Jambo linalonichanganya ni kuona hawa wakulima bado wanachagua CCM...They keep voting against their interest
  13. T

    Waziri Hasunga: Tumefungua mipaka kuuza mahindi nje ya nchi

    Tanzania inasikitisha sana. Mkulima hana haki na mazao yake. Serikali ndiyo inamuamulia auze wapi...just think about that for a minute....Tutaendelea kweli?
  14. T

    Mavuno ya mahindi mwaka huu wa 2018 siyo mazuri

    Awamu ya tano itamaliza muda wake wataondoka. Siyo wazuri kwenye mambo ya uchumi. Hopefully
  15. T

    Mavuno ya mahindi mwaka huu wa 2018 siyo mazuri

    Bei ya mpunga sifahamu mkuu...nadili na mahindi
Back
Top Bottom