much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,445
- 10,162
Mhindi yanalimwa na wafanyabiashara Wakubwa harafu wanayachia kidogo kidogo.Mkuu, mbona umeweka bei ndogo sana kwa JK?
Kipindi cha JK dar unga ulikuwa unafuka hadi 2,000 kwa kilo, mchele ulikuwa unagonga hadi 3,500 kwa kilo.
Magufuli hatakagi ujinga wa wafanyabiashara wakubwa kutengeneza uhaba wa bidhaa alafu wanaachia kidogokidogo kwa bei kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app