Hata mimi nimesikitika sana kitendo cha mwalimu kupigishwa deki.. kama adhabu za kiutumishi pale mtumishi wa umma anapokiuka maadili au ametenda kosa zipo kwa mujibu wa kanuni hili ni jambo baya sana kutokea.. yule mwalimu amepewa majukumu makubwa ya kuwalea vijana wetu sasa kupewa adhabu ambayo...
Telekeza mke wako na wananao nenda kwake mwisho wa siku utaona matokeo yake! yaani mambo kama haya mwanaume ukifanya hata haitakiwi kusimulia wenzio ni aibu.. ngoja niondoke niende zangu nikanywe bia!
Asante mkuu ila kigezo cha experience hapo ndo watachukua watu wachache na ambao pia tayari wanakazi! experience ya ten years nimeipata wapi nimegraduate mwaka jana na sina ajira.
Wadau eti zile nafasi za security officer Tanesco Power Plant Ubungo zilizotangazwa December wametoa kwenye gazeti gani? mwenye shortlisted naomba aweke majina ya walioitwa kuna baadhi ya watu wameanza kupigiwa simu.
Mkuu kigezo cha umri wamewapa nafasi hadi umri wa miaka 33. so ni muda mrefu sana wametoa ni nafasi za wataalam hapo huajiri ma engeneer, daktari, wanasheria na taaluma zingine unazozifaham.
Hapo dada umeharibu maana na wewe umekua msiri kiasi cha kuzini. ulichotakiwa kufanya tangu hapo awali ni kuenda kupata usuluhishi kutoka kwa mshenga wenu kuliko kujifanya wewe ndio unamaliza matatizo yako kimya kimya na hata kama kwa mshenga ingeshidikana ungekwenda kwa kiongozi wenu wa dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.