Hivi great thinkers wa kibongo ndio mambo tunayotakiwa kuchemsha ubongo wetu katika maeneo haya ambayo unataka kutupeleka??? Hao definetely hawatakuwa great thinkers bali narrow minded with much time to play around!!!!!!!!
kweli kabisa watu wanauona msalaba kuwa ni kuabudu sanamu lakini wanaamini kuwa ni katika huo huo msalaba dhambi zao ziliokolewa kwa yesu kufa msalabani. wanajichanganya sana
Tuanze na watoto wetu, wazazi tukiwaona wanavaa nguo zinazoelekea kuonyesha baadhi ya maumbile yao tuwapige marufuku, wakifika huku walipo hawa hawatafanya hivi. Kwa sasa hivi hawa wameshindikana
Wengi wamegundua kuhubiri ni sawa na kufanya kazi ktk ngo fulani yaani ni ajira kama ajira nyingine. Watz tuwe macho na madhehebu yanayoibuka kila kukicha!!!!!!
Baada ya kamati kuu na secretariat ya ccm kuvunjwa (magamba kuvuliwa) sasa ccm lazima wawe makini kuweka watu ambao wanapiga vita ufisadi si kuweka mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.