Blaque
Senior Member
- Feb 11, 2011
- 127
- 105
Kijana mmoja mjini morogoro maeneo ya Kihonda mbuyuni amepata kipigo cha nguvu baada ya kutegewa mtego na raia wema akiwa kwenye mawindo yake ya kila siku!!
Kijana huyo inasemekana ni mfanyakazi wa kiwanda kimoja kilichopo kihonda alikuwa na tabia ya kubaka wanawake ,na alifanikiwa kubaka zaidi ya wanawake wasiopungua wanne ndani ya wiki 2,alikuwa anapanda juu ya mti akivizia mwanamke apite ili amshughulikie na raia wema ndio wakapanga kumtegea mrembo naye bila kusita akamvamia na kumtishia screw driver na kisu na mrembo akapiga kelele na watu kutoka kwenye maficho na kumkamata na kumshushia kipigo cha nguvu,baadhi ya wanawake waliobakwa na mtu huyo walithibitisha kumtambua mbakaji huyo..
Kati ya walikumbwa na mkasa huo wamo wake za watu...baada ya kipigo alichukuliwa na polisi na kupelekwa kituoni..
Kijana huyo inasemekana ni mfanyakazi wa kiwanda kimoja kilichopo kihonda alikuwa na tabia ya kubaka wanawake ,na alifanikiwa kubaka zaidi ya wanawake wasiopungua wanne ndani ya wiki 2,alikuwa anapanda juu ya mti akivizia mwanamke apite ili amshughulikie na raia wema ndio wakapanga kumtegea mrembo naye bila kusita akamvamia na kumtishia screw driver na kisu na mrembo akapiga kelele na watu kutoka kwenye maficho na kumkamata na kumshushia kipigo cha nguvu,baadhi ya wanawake waliobakwa na mtu huyo walithibitisha kumtambua mbakaji huyo..
Kati ya walikumbwa na mkasa huo wamo wake za watu...baada ya kipigo alichukuliwa na polisi na kupelekwa kituoni..